Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mimi mwanafunzi wa CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA. Kwanza nakipongeza chuo kikuu huria kuanzisha utoaji wa elimu kutumia e-learning (Moodle). Mimi ninayefanya kazi katika taasisi binafsi ni...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Habar zenu wana jf? Nina mdogo wangu anataka kujiunga na diploma mwaka huu anafanya final ya certificate mwezi wa saba na mwisho wa kufanya application za kujiunga na vyuo ni 20 August, Je...
1 Reactions
5 Replies
954 Views
NACTE walisema kufungua application tarehe 15 mwezi huu wa tano lakin hata application guide book haipo!!!
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii, Naomba mnisaidie namna ya kufanya application ya vyuo ngazi ya cheti kupitia online pale NACTE maana naona tangazo tu la kwamba mfumo utafunguliwa tarehe 15/05/2017 lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Biology =>B+ Chemistry =>c Physics =>C Mathematics =>D English=>D Kiswahil=>C Geography=>D History=>D Civics=>C Msaada wenu jaman maana apa sielewi niapply course ipi kati ya clinical medicine na...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Mara baada ya sakata la Uongozi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kutaka kumshughulikia kijana mzalendo ambaye ni Rais wa serikali ya wanafunzi wa chuo hicho kwa kile ilichosema ni kosa la Kiongozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau mimi nina vyeti viwili vya form four vya matokeo tofauti .je naweza kuviunganisha...kiwe kimoja.msaada tafadhali
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naam. Katika kudahili kupitia CAS kunaibuka matatizo na changamoto mbalimbali. Kwanini uteseke na hali kuna wataalamu na wazofu wengi humu? Na kabla hujauliza tatizo lako, ni vyema kwanza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tukisoma waraka unaoitwa: “Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia” – ambao mtu anaweza kuupata kwenye tovuti ya Taasisi ya Elimu (Tanzania...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa ufaulu huu niliopata naweza Ku apply chuo cha nn naombeni msaada wenu maana nataka ni reset mwakani Hist-c Geog-d Civ-d Kisw-d Eng-d Bio-d Math-f Kwa masomo ya science sikufanya Ila nilikuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndg Wanajamvi kama nilivoandika hapo kwenye heading... Walimu wa ajira hzi za mwezi april znatufanya tunaishi kama njiwa ugenini mpaka muda huu kuna halmashauri hazijatoa pesa ya kujikim ikiwemo...
0 Reactions
4 Replies
925 Views
Msaada hapo maaana ukikosea kuchagua kozi nzuri now utajuta mbeleni na vyeti vyako. Naomba ushauri upande wa ajira maana kozi kama telecom inatolewa UDSM, UDOM na DIT lakini nimeangalia watu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnisaidie tofauti kati ya wholesome water,potable water na palatable water.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kitendo cha mtu kwenda kuchota maji, je anaweza sema nafuata maji? Kiingereza chake ni " to follow water" au " to fetch water? Naomba msaada wenu kutoa utata
0 Reactions
3 Replies
647 Views
Tafadhali mwenye cheti cha kidato cha nne ambaye hakitumii tafadhali naomba tuwasiliane kama uko tayari kukiachia but uwe msichana. Cheti kiwe na at least point 28
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Kwenu wadau !!jamani naombeni kuuliza Nacte bado kwa udaili wa intake nyingine.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Habarini wadau, Nipo namalizia diploma yangu DIT katika idara ya ujenzi( civil engineering) nina mpango wa kusoma shahada ya kwanza nje ta Tanzania nilikuwa naomba ushauri eti ni vyuo gani...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Chuo kinaposema kinahitaji credits, huwa ni pass zipi? C and above or abcd eg: A holder of form IV certificate (‘O’ lever) of Secondary school education with three credits in Biology, Chemistry...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibuni wana jamvi tujadili hii habari
2 Reactions
2 Replies
890 Views
Wakuu. Nataka kusoma veta, nataka kujua muda wa masomo kwa kozi za muda mrefu, msaada kwa mjuaji.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom