Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nina soma HKL (Advanced level). Naomba ushauri kuhusu kozi ya kusomea huko chuo kikuu..
1 Reactions
4 Replies
942 Views
Waungwana habari! Naomba msaada wa kujuzwa shule nzuri ya sekondari ya bweni iliyopo mkoani arusha , ada isizidi milioni moja. Natarajia kijana Wangu aanze form one mwakani. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale wanafunzi wa diploma maalum ya ualimu wa sekondari masomo ya sayansi na hisabati waliohamishiwa vyuo vya Korogwe na Kasulu kutokea UDOM wametelekezwa baada ya wanafunzi kushindwa kwenda field...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina degree ya accounting ambayo toka nimemaliza ni zaid ya miaka mitano. Niko mkoani nimejaribu kuuliza nambiwa kwa kwa wadau wananiambia itabid niende foundation lakin nikisoma syllabus naona...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau vigezo vya kupata kozi za certifcate ya IT vipoje?
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani habari za humu ndani natafuta wanafunzi wa vyuo vya ualimu TTC, tushee material 0758-494651
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma HOJA ZA WADAU KWA MWEZI MEI, 2016 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, inapenda kuwashukuru wadau na wananchi wote waliotuandikia maoni...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Ivi mtu fulani alisoma Western training college lakini akapoteza vyeti je afanye nn?
0 Reactions
5 Replies
967 Views
Habari zenu, Jaman tatizo langu ni kwamba kila nikijisomea madaftari baada ya masaa 24 nasahau nilichokisoma lakin ikifika siku ya mtihani kumbukumbu zinarudi. Je hili tatizo linasababishwa na...
0 Reactions
124 Replies
16K Views
Jamani nacte washafunga zoezi la udahili kwa kozi za afya diploma na certificate kwa muhula wa mwezi April ila unaweza kuomba chuoni moja kwa moja wanakuingiza kupitia institutional panel waweza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari! Kwa wenzangu na mm ambao tumesoma medical laboratory tukutane hapa tuelimishane kimasomo na kikazi
0 Reactions
1 Replies
575 Views
Habari zenu wakuu. Mimi nilichaguliwa mwaka jana kusoma kozi ya diploma, ila kutokana na matatzo ya hapa na pale sikuweza kusoma. Je, naweza omba tena mwaka huu nikachaguliwa bila shida yoyote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba clip ya speech ya mkuu wa Kaya ya kingereza Naomba Wakuu.
1 Reactions
6 Replies
997 Views
Ndugu wanabodi, heshima kwenu wakuu, Nadhani wote tunaamini elimu bora ndio msingi wa maendeleo, ila sasa elimu hii inaharibiwa na mamlaka husika zipo kimya zimetulia, sijui kama sababu ni rushwa...
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Wadao natumai mu wazima na pole kwa waliopatwa na maswaibu mbalimbali ikiwa ni pamoja na wasafiri waliolala njiani kutokana na athari za mvua barabarani. Nimefuatilia malumbano ya hoja...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Uyu ni mwalimu wa chuo cha mount Meru University, yaani ni jipu kubwa hapa chuoni analazimisha wanafunzi wamchangie ukikataa anakufelisha, anang'ang'ania kufundisha course za mwisho ili awatie...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu wana jf naomba mwenye kufahamu baada ya kusoma veta Level 1,level 2 na level 3 nini kinafata au ndo mwisho wa level za VETA?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya wikendi wanajf. Mimi binafsi ni mzima wa afya njema. Pole ziwafikie wagonjwa, rafiki na familia waliopoteza watoto katika ajari ya gari huko karatu, R.I.P. Nina mdogo wangu alihitimu...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Chemistry ya Advance ina sehem nyingi kama vile. General chem, Physical chem, Organic Chem na Inorganic chem. Sasa je kwa mtu anayeanza form five aanze na kipi na ni mtiririko upi aufuate ili...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Hivi inawezekana kwa mtu aliyedahiliwa na TCU lakini masomo yakamshinda chuo kikuu, anaweza kudahiliwa na NACTE kama akitaka soma diploma
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom