Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakubwa me natarajia kumaliza mtihan Wang wa kidato cha sita nimechukua CBG lakini nipo njia panda je course ipi nibora yan ajira nilahisi natukiangalia kwa upande mwingine naweza kuanzisha mradi...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kwa yeyote anayejua kuhusu taarifa ya nacte lini wanaruhusu application za vyuo kwa form four candidates of 2016.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wana JF.. Wale wote wanaosubiri application za NACTE tukutane hapa.... Ili kupeana info mbalimbali....
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Karibia katika awamu zote za Uongozi hapa nchini Tanzania kuanzia ya Hayati Nyerere, Mwinyi, Mkapa na ya Kikwete huku ukiiondoa hii ya sasa ya Shujaa kutoka Chato Rais Dkt. Magufuli mara nyingi...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Chuo cha sayansi na teknojia Mbeya (MUST) ni mmoja wa chuo tulitarajia kitafungwa au kitazuiliwa kudahiri wanafunzi kama chuo cha St. Joseph na vyuo vingine hapa nchini lakini imekuwa tofauti...
2 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari za jioni wana group,ninaomba kwa yyte ambaye yupo DSM na anasoma chuo chochote cha level ya Certificate au Diploma, Au kama in Mwalimu au unamfahamu Mwalimu Fulani wa chuo hicho nakuomba...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Dear Students of SJCET, Fellow Comrades,You doomed students who by such bad luck happen to be spies for our foes(Bhaskara Raju,Jaison Jacob and,Ranjith),Staff of SJCET,Dear Sisters,Fathers,and...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau, naombeni mnifahamishe mahali ilipo feza primary pamoja na ada yao inakuwaje kwa mwaka Ntashukuru kwa hilo
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwa kile chuo kilichosaini jaman Sisi huku Mbona Bado? Njaa aisee
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Aliyesoma HKL anaweza kusoma hii kozi??? Ya bachelor of business administration with education?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hello Wakuu, Natumai mko poa. Kuna kasumba moja imezoeleka miongoni mwa walimu wengi wa ngazi zote (Shule ya msingi hadi sekondari), tabia ya kuchukia kufanya kazi vijijini na badala yake...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimi nimemaliza advance mwaka 2014 ufaulu wangu, General studies, E, history -C, kiswahili -B, English language-E, division three ya 13 . Nahitaji mnisaidie kunishauri Kati Ya kozi hizi ipi...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
deleted
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Wanajukwaa kwa wale wanaoifahamu vizuri Iringa, napenda kufahamu zilizopo ofisi za halmashauri ya wilaya ya Iringa
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari ya mchana wana GT..ni matumaini yangu nyote mko salama na mnaendelea vizuri. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..ninatafuta chuo ambacho ni kizuri kinachotambulika na pia...
1 Reactions
30 Replies
10K Views
Habri, JF. Naomba kujuzwa kuhusu waliosoma nje ya Bongo hasa elimu ya juu kuanzia shahada hadi uzamivu, mlipohitimu vyeti vyenu vya huko nje mlivipeleka ofisi/ mamlaka ipi ili kutambulika na...
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Mwalimu kapangiwa: Mkoa wa Iringa Iringa DC PAWAGA secondary school anahitaji kujua kuhusu haya: mahali zilipo ofisi za halmashauri husika. nauli kutokea mkoani hadi ktk halamashauri husika...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Jamani kwa wote mnaosomea India au mliowahi kusomea India ninaomba mtushauri kitu hapa mimi na mdogo wangu.Mdogo wangu amepata skolashipu anatakiwa aende India masomoni huko Mangalore tunaomba...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za jioni wanaJF, napenda kujifunza lugha hii ila sifaham mahala gani naweza pata hilo darasa wanapofundisha lugha hii kwa hapa dar es salaam, ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom