Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimejaribu kuingia website yao , ila cjaona ada au gharama za master of busines management chuo cha ushirika, yani total cost mpaka unamaliza, kwa anaejua anisaidie ili nijipange kukopa pesa kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je.? Kiswahili Ni Kibantu Jadili Nani Wa Kulijibu..
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wadau wa elimu habari zenu. Naomba kuuliza iwapo wale wasichana mapacha walioungana, Maria na Consolata Mwakikuti wapo kwenye orodha ya watihiniwa wa kidato cha sita mwaka huu 2017?
2 Reactions
61 Replies
11K Views
Hii nimeitoa gazeti la mwanahalisi Jumatano November 4-10, 2009. kati ya mawaziri waliokuwa na kashfa ya kujipa cheo cha udaktari wa falsafa (Dr.) wawili wameanza kukata shule Mzumbe University...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
VIGOGO wa Serikalini walio madarakani ambao walighushi shahada za degrii bandia wametakiwa kuachia nyadhifa hizo pia na kurudi shuleni. Msimamo huo umetolewa jana na Serikali kupitia Waziri wa...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Jamani anaejua grade zinazotumika katika ufaulu kidato cha sita anisaidie..!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2. Akatamka mgonjwa, ninaumwa...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau wa elimu msaada wenu.Ivi endapo una certificate of primary education unaweza kusomea diploma ya ualimu, or ni diploma gani unaweza somea kwa chet hicho.Msaada plz
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu wanajamii hali ya chuko kikuu cha Dsm sehemu ya mlimani inatisha sana. Hii ni katka nyanja za elimu usafi mazingira na maadili. Unapoongelea suala la ELIMU hali mbaya kwani siku zijazo...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
"Elimu ni silaha yenye nguvu katika kuleta maendeleo kuanzia ngazi ya familia mpaka katika jamii kwa ujumla ". Tathmini ya matokeo ya kidato cha nne Singida mjini Na Japhari Saidi Mtoro...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kama kuna wafanyakazi wa UDOM hapa JF hebu tupeni majina ya watumishi 6 walifutwa kazi huko kwa kuwa na vyeti vya kichina (Bandia). Inatia aibu hii nchi. Wadu mnasemaje juu ya hili? Nini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bado Waziri wa zamani wa Elimu katika awamu ya tatu Joseph Mungai (MB) anakumbukwa kwa jitihada zake na mafanikio yake katika kuvuruga mitaala ya elimu Tanzania! Lakini nyuma ya pazia ni kwamba...
0 Reactions
37 Replies
10K Views
Nakala chapishi Mtumie mwenzio Jiandikishe utaarifiwe Sitta mmoja akiuawa kisiasa, Sitta 16 wapya huzaliwa! Johnson Mbwambo Agosti 26, 2009 HUWA najiuliza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda kuwajulisha watanzania wenzangu kwamba tuwe makini na wahitimu wa University Computing Centre-Mwanza Branch na Instititute of Accountancy Arusha kwani kwenye vyuo hivi viwili kuna watu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Siku ya Alhamisi tarehe 23/7/2009, Mbunge wa Singida Kusini Mh. Mohamed Misanga (CCM) aliahidi kuwasilisha hoja binafsi ya kuundwa tume huru ya Bunge kuchunguza Baraza la Mitihani na Katibu wake...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Date::11/23/2008 Kauli ya JK kuhusu elimu yakoroga wapinzani Exuper Kachenje Mwananchi KAULI ya Rais Jakaya Kikwete kuwa serikali yake haikubaliani na matakwa ya wanafunzi kudai wakopeshwe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu Nimekua nikifuatilia kwa karibu utendaji wa baraza la mtihani la Taifa la Tanzania yaani NECTA. Utendaji wake unasikitisha sana ukiongozwa na Dr Ndalichako. Nimekua nikisikia mara...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kufaham madhara ya kufeli somo la GS na BAM, kwa mtu kama wa HGE na CBG
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Back
Top Bottom