Habari ya mchana ndugu zangu Great thinkers wa JAMIIFORUMS...hii incidence imetokea leo kazini mida ya asubuhi..hapa ofisini kwetu kuna vijana wa UDSM waliopo katika mazoezi yao ya vitendo yaani...
Wakuu nina mpango wa kutuma maombi nacte kusoma hiyo course.. Je ni course nzuri? Field zake ni kama zipi? Na zipi Changamoto zake? Chuo gani kizuri kusomea hiyo course? Naombeni mnisaidie wakuu
Kutokama hali ya kimasiaha ya mwaka huu kutoautiana na ya mwaka juzi ambapo walimu wa ajira mpya waliajiriwa, serikali yetu kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI, imeamua kuongeza fungu ktk pesa ya...
Hi Great Thinkers Mwenye Ujuzi Au Taarifa Juu Ya Bandiko Langu Ada,qualification,campus Gani Nzuri,course Duration Mimi Nina Certificate Ya Ict Ya Chuo Cha Bongo nataka Chuo Cha Kenya.Karibuni.
Natanguliza kila la kheri kwa ambao kesho tunaanza mitihani ya bodi ya wahasibu na wakaguzi katika stage mbalimbali, Mitihani hiyo itaanza kesho na kuisha ijumaa, Kwangu hapa hapatakuwa shwari...
Wadau anaeielewa course ya community health ngazi ya certificate naomba kuelewa unapomaliza certificate unaweza kujiunga na deploma ya course gani ya afya pia unapomaliza certificate ya community...
Taarifa zilizopatikana muda si mrefu ni kuwa shule ya Sekondari Kibiti imefungwa baada ya vurugu kubwa kutokea kati ya wanafunzi wa Kikiristo na Waislam.
I nasemekana kuwa wanafunzi wa kikiristo...
Baada ya kuondolewa wafanyakazi hewa Sasa waalimu wa arts kaeni mkao wa kula wote wanaajiriwa. Chanzo cha Habari Rais magufuli Leo huko moshi. Nawasilisha
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa anisaidie kunifahamisha chuo kizuri kilichopo DSM au Nje ya DSM ambapo naweza kumpeleka mwanangu akasome Kozi itakayomsaidia.Kamaliza Kidato cha Nne 2016 na Kupata...
Nitumie nafasi hii kuwatakia mtihani mwema form 6 wote Tanzania,mungu awatangulie katika mitihani yenu na mfaulu kwa kiwango kikubwa sana.Karibuni chuoni;
Natambua uwepo wa form 6 wafuatao...
Naomba kujua kuhusu soko la ajira kwa mtu aliyesoma Bachelor of arts in economic ,kama kuna mtu aliyesoma kozi Hiyo naomba anisahidie au kama kuna anayejua anisahidie plze ,nahitaji kujua kuhusu...
Kwa kuwa serikali imewataka walimu wapya kuwasili katika vituo vyao vya kazi walivyopangiwa kuanzia tarehe 18 mwezi huu!
1. Vipi malipo ya kufanya kazi kwa muda huu wa siku 13 za mwezi wa nne...
Nkasi secondary inapatikana;
NCHI :Tanzania
MKOA:Rukwa
WILAYA:Nkasi
MJI:Namanyere
Ukifika stendi ya SUMBAWANGA MJINI tafuta Mabasi ya kwenda Namanyere nayo ni SHEMBOKO,RUCHORO,BISMARCK ,ETC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.