Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimepitia maeneo ya DIT kumwona mtoto wa rafiki yangu asomaye chuoni hapo akiwa mwaka wa kwanza. Mimemkuta kajiinamia kama anaongea peke yake. Nilivyomuuliza kulikoni kanijibu nina hati hati ya...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
kama kichwa cha hbr hapo juu mm nimepoteza cheti changu cha chuo kikuu UD naulizia kama kuna uwezekano wa kupata kingne na mchakato hua unakuaje
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimehitimu kidato cha nne mwaka jana, naomba msaada kwa anaejua shule nzuri ya private kwa advance PCB yenye ada isiyozidi milioni tatu. Naomben msaada wenu plz.
1 Reactions
28 Replies
40K Views
Habari za mchana wakuu kama kuna mtu anaifahamu course hii inayotolewa pale university of dar es salaam anisaidie kama hii course ni full time au ni part time (evening) pekee....... maana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA 2013 anitumie kwa email.iddimwambasi3@gmail.com ASANTENI.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ripoti ya Uwezo inayotoa Tathmini ya hali ya kujifunza nchini inasema kuwa watoto wenye mama mwenye elimu ya sekondari au zaidi wanafaulu zaidi ya wale ambao wazazi wao hawajasoma. Napata...
0 Reactions
4 Replies
863 Views
Kuna watu wafitini wanaozusha kuwa wizara kuhamia kwenye maeneo 'yanayozunguka' UDOM kutaleta madhara kwa chuo hicho. Kabla ya hapo wizara hizi zilikuwa zinakizunguka chuo cha IFM mbona sikuona...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wasalaam waungwana wenzangu! Natafuta shule ya wasichana pekee yenye ufaulu unaoridhisha katika mchepuo wa EGM (Economics, Geography & Maths). Kwa mwenye kufahamu naomba nisadie jina la shule...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta watu wanao soma hiyo coz hapo juu napia hata walio graduate
0 Reactions
5 Replies
994 Views
I hope mu wazima wanaJf Naomba kuelimishwa jinsi ya kupata matokeo ya veta level two mwaka 2016 nipo mbali na chuo au yapo kwenye mtandao upi samahani naomba mnijuze
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Anayejua matokeo haya tafafhari ayaweke hapa kwa kumbukumbu sahii.
1 Reactions
97 Replies
8K Views
Hello JF, Leo ningependa kutoa wazo, Courses zetu za vyuo ziwe zina encourage independent learning, i believe ukiisoma topic mwenyewe unaielewa kuliko kukremishwa darasani, Sio mfumo wa kufanya...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Habarini wanajamiiforum! Wanasayansi naombeni msaada jamani
0 Reactions
50 Replies
11K Views
Napenda kujua walimu walioajiriwa mwaka huu.TGTS ya mshahara wao ni mpya au ya mwka2015? Pia watalipwa mshahara mwezi huu au mwezi ujao? Na increments yao ni mwezi UPI kula mwaka?
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Wakuu naombeni kuuliza maana sielewi naonaa watu wanatafuta kazi kibao kwa vitengo tofautii ila cha ajabu uandishi wa habari nimeona Thread moja tu..... Sasa naomba kujuzwa uandishi wa habari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu Nina Mtoto wa Ndungu ya (KE) kamaliza shule mwaka Jana bahat mby kafeli Ameniomb nimsaidie kutafuta Course ya kusomea matokea yake ni Hata Chem D English C Math F Kiswahili C Civ D...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Artistically, teaching is a job of laughing with children, playing with pupils, and arguing with students. One can ask; 'playing with children??? What if your class has also old people? I can...
1 Reactions
2 Replies
608 Views
Kuandika ujumbe na kupakia picha na video limekuwa jambo la kawaida kwa karibu watu 1.8 bilioni wanaotumia mtandao wa kijamii wa Facebook. Ingawa ujumbe wako wa siasa au salama za heri, pongezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kuona kuna mkanganyiko mkubwa, nimeamua kuwaelewesha wenzangu wanaotaka kusomea mambo ya nursing kwa kozi yoyote ile. 1. CERTIFICATE (Ngazi ya cheti) Mwombaji awe na D TATU ktk masomo...
0 Reactions
131 Replies
59K Views
Nimedhamiria kufanya mapinduzi ya ki mfumo hasa katika upande wa elimu,mikopo pamoja na afya pia wanafunzi watapata nafasi ya kuchangia katika masuala mbalimbali ya uendeshaji wa gvt ya WISO
1 Reactions
1 Replies
810 Views
Back
Top Bottom