Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Yapata Kama mwezi mmoja toka viongozi ya Chama cha Ualimu Tanzania kutolea povu serikali wakidai kulipwa madai yao kinyume cha hapo wangetangaza mgomo nchi nzima! Lakini mpaka leo kimya hakuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa kwenye tasnia hii ya elimu kwa takribani miaka 11 sasa. Katika kipindi chote nimeweza kuwakwenye taasisi saba za elimu katika ngazi mbalimbali. Kwenye taasisi zote kumekuwa na walimu...
6 Reactions
64 Replies
5K Views
Habari wakuu Ni kilio kikubwa sana kilichotawala hapa Tz watoto wamepotezwa muelekeo wa elimu baada ya vigezo kupanda zaidi ya vile vinavotumika kwa baadhi ya nchi. Imepelekea watoto wengi...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Walimu wenzangu wa ajira mpya, naomba mtupe taarifa kuhusu malipo ya pesa za kujikimu na nauli ktk halmashauri zenu. Mimi niko halmashauri ya wilaya ya Missenyi. Mpaka sasa hatujapewa chochote na...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Toa qualifications zako upate kuonwa na wahtaji wa ulichokisomea wakutafute ukaendleze jamii ya watanzania,
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Hivi kwa matokeo haya naweza soma diploma Kisw c Engl c Basic f civics C Geog D Hist D Bios D
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF mimi ni mhitimu wa form six 2015 na niliandika barua ya kuahiriasha mafunzo ya JKT.... napenda mnaojua mnisaidie kujua utaratibu wa kujiunga na JKT mujibu wa sheria mwaka huu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye elim ya wenger Asanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba kufahamishwa course unit za LLB ya pale OUT! Ziko ngapi kiujumla? Mwaka wa kwanza mwanachuo hutakiwa kuzisoma ngapi? Mwaka wa pili na watatu zinakuwa ngapi? Natanguliza shukrani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Elim yavasene wenger Pse mwenye njia mbadala atupe ushauri tukomeshe ujanja ujanja huu. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Wakubwa ivi watu walio somea MD alafu wakaajiliwa katika private je hua wanalipwa zaid kushinda serikalini au wapo sawa au kwenye private wanadidimiza.
0 Reactions
1 Replies
617 Views
Ukimweka chura kwenye maji na ukaanza kuyachemsha maji, kadri joto la maji linavyozidi mwili wa chura utakuwa unajibadili joto lake pia kuendana na lile la maji. Chura ataendelea kuongeza joto la...
9 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari Wakuu! naomba kujuzwa kama hapa kwetu TANZANIA kuna Chuo Kikuu ambacho kinatoa shahada ya Sound engineering, na kama hakuna hata chenye mpango wa kutoa shahada tajwa, ahsanteni na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Hizi ni program ambazo zinanichanganya sana katika kufanya selection hadi nahisi kupoteza mda. Huend sina ufaham wa kutosha ipi ni bora kushinda nyingine au ni ipi inaweza kunifanya nikawa si...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni site ipi nzuri naweza itumia kupakua vitabu mbali mbali , msaada wenu pia kama ntapata link itakuwa bora zaidi
1 Reactions
8 Replies
9K Views
Habarini za weekend wanaJF; Nimesikitishwa sana na hizi video au post ambazo Mwalimu anapost au anasambaza mitandaoni huku akiwa anafundisha, tena anaonesha jinsi gani mwanafunzi anayemfundisha...
5 Reactions
122 Replies
7K Views
Kuna wakati nilikua nikiwaza juu ya kutengeneza kitu sana sana katika swala la Elimu. Sasa nimefanikiwa kutengeneza app like game inaitwa Endless mathematics quiz, ni app ambayo nimeiweka...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Hi! Here I am asking you guys to help me with the book titled "Reason to stay Alive" written by Matt Haig. This is my Last resort, please Help me with this book. Your Help will be Much Appreciated.
0 Reactions
0 Replies
472 Views
Heshima mbele. Wakuu naomba mwenye link au copy ya vitabu hivi, 1. Kivuli Kinaishi 2. Nagona 3. Hekaheka 4. Maajabu yaliyomkuta Allan Quaterman 5. Mashimo ya Mfalme Suleiman 6. Kusadikika Amani...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Back
Top Bottom