Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ninashangaa na nakuwa na sintofahamu baada ya kutuma vyeti kwenye email za wizala ya elimu na kukosa kwenye orodha ya waliotuma vyeti na kupelekea kukosa kwenye orodha ya waliopangiwa vituo vya...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu wananchi wenzangu mliopo mwanza au nje ya mwanza mnaosomesha watoto wenu katika shule ya alliance iliopo maeneo ya mahina mkoani mwanza.Kumekuwepo na mtindo wa shule hii kunyima wanafunzi...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu wanajamvi,Naombeni kujuzwa chuo chetu imeingia Hela ya Heslb tangu Tarehe 26 mwezi huu kwenye Account ya chuo. Ndugu wanajamvi hiii pesa ni yangu ambayo ilienda chuo kingine na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana JF naombeni maelezo kidogo kuhusu hili..kuna baadh ya vyuo vinafanya usajir wake wa wanafunzi ( certificate & diploma ) kupitia chuoni moja kwa moja bila kupitia NACTE japokua vimesajiliwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naombeni tujuzane nimechaguliwa chuo Rwanda naomba info kuhusu ubora wa elimu yao
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada kwa anayejua hiyo shule tafadhali anipe data
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Habarini za muda huu wakuu,, Naomba kuchukua fursa hii adhimu kabisa kumshukuru SIR. NGAIZA kwa kufanya revolution kubwa sana ambayo ni msaada mkubwa kabisa katika kujifunza somo la advance...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Wanafunzi huwa wanajichagulia wenyewe vyuo 3 kati ya vyuo vingi vilivyoko nchini kwa kutumia mtandao ya internet au simu unaoendeshwa na ama TCU au NACTE. Kati ya vyuo hivyo vitatu alivyovichagua...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna tuliomaliza kidato cha nne 2016 tukajaribu kuomba vyuo kupitia CAS mwezi March 2017 hatukupata. Tulijibiwa tusubiri mpaka itakapotangazwa tena . Baadhi tulilipa 30,000/= kwa M-Pesa na...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar wana JF,nlikuwa naomba ufafanuz wa kina juu ya course hiyo hapo ikihusisha contents na soko kwenye ajira.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Walimu wa ajira mpya wanaotaabika kwa kutokufahamu walipopangiwa, uliza hapa ili upate msaada kutoka kwa walimu wa shule husika au wakazi wa sehemu husika. mambo ya kuuliza ni kama yafuatayo...
3 Reactions
70 Replies
7K Views
Nataka kusoma online lakini sijua namna ya kujiunga ki ufup sifaham namna mambo yanavyokwenda kwahyo kwa yule anaefaham anaweza kunisaindia. dezzypaul23@gmeil.com My email
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hello JF Members, A mobile phone can be a surprisingly good companion for everyone who wants to have access to their eBooks all day long. Most of us don’t consider our phones as a serious...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Fikiria uko jikoni ukiandaa chakula cha jioni. Watoto wako wawili wadogo Fred na Joe wanacheza sebuleni. Salome yuko mezani akifanya kazi za shule. Mara unasikia mlio wa kitu kuvunjika sebuleni...
1 Reactions
6 Replies
830 Views
Wakuu habari za mchana Naomba msaada kwa mwenye soft copy ya hivi vitabu hapa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Anaeifahamu Usinge Secondary, Kaliua-Tabora
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba mnijuze haya yafuatayo kuhusu namalenga. nauli kutoka shuleni hadi masasi mjini ambako ndiko makao makuu ya Masasi DC kama shule ni ya kuwa au bweni. kama shle ina advance au laa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni upi utofauti wa level tajwa apo juu ndani ya nchi hii? Au utofauti ni kwenye hizo phrases tu bt evrything ni sawa? Nimefanya utafit mdogo (field of accounting TZ) wahitim wengi wa Adv Diploma...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Kichwa cha habari chahusika Serikali imetoa ajira Kwa walimu wa sayansi But katika orodha hiyo yapo majina ya walimu watatu wa masomo ya arts Na wote wamepangwa Bukoba municipal na wote...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wakuu heri ya jumatatu ya pasaka Naomba tushirikiane kuhusu mtazamo wa Rais Mh.Rais anaamini UDSM ndio chuo pekee kinachostahili kuitwa chuo kikuu Labda kwasababu naye kabahatika kusoma ud...
29 Reactions
192 Replies
17K Views
Back
Top Bottom