Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimekutana na hili takwimu za maendeleo ya elimu katika shule ya sekondari Bwanjai. Si mazuri, trend ya ufaulu na namba ya wanafunzi kila mwaka inashuka (generally). Tatizo ni nini, na nini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF! Nimesikia kuwa ukisharipoti Halmashauri unarejeshewa gharama zote za usafiri kutoka kwako hadi Halmashauri. SWALI LANGU: Ikiwa nimetumia usafiri wa gharama kubwa kama ndege...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Hivi CWT imemalizanaje na serikali kuhusu haya makato yaliyo nje ya mkataba?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za muda huu wadau... Naomba msaada namna ya ku calculate GPA za nacte kwa diploma anayetak kwnd degree... Mfano unakuta GPA ya mtu alopata chuo ni 2.7 then akifanya application nacte...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
AJIRA MPYA ZA WALIMU WA HISABATI NA SAYANSI 2016/2017 | Pmoralg - Tanzania
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni msaada nataka kujua kuna vyuo vingapi vinatoa elimu ngaz ya cheti ktk sekta ya afya hasa course ya nursing na mkoa gani kipo naomba ushilikiano wenu nami nijue kuna mdogo wangu ana div 3...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma HGL advance Je naweza kusoma enterpreneurship? Naomba uniasaidie kwa ushauri pia
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Habari wana jf, natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi aende kigoma mjin (ujiji) awe wa mkoa wa kilimanjaro moshi mjin au arusha mjini
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Jamani naombeni msaada kuna utaratibu gani ukitaka kurudia mtihani Ku reseat mtihani form four na inabidi ujisajili kuanzia masomo mangapi kw a kufanya mtihani necta.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mh. Simbachawene kwa mshikamano mkubwa na Mh kairuki wapeni watumishi wa umma walioomba uhamisho toka january mwaka huu. Mbona mmewahakiki na wengi wao wanajihamisha wenyewe mnawabania nini...
6 Reactions
51 Replies
24K Views
Nilichaguliwa kujiunga na mzumbe university mwaka wa 2015/2016 ktk course mojawapo ambaye sikuwa interested nayo.Na nilipata mkopo Sasa mim huwa sipend kulazimisha nafsi ila kwa msukumo wa wazaz...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Naomba kujua kama walimu waliokuwa wamemaliza postgraduate diploma in edhcation toka duce, muce, udsm, open etc kama wamepangiwa shule kipindi hiki....
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu mabibi na mabwana. Kuna ndugu yangu amehitimu kidato cha sita mwaka Jana matokeo ilikuwa ni DEE sasa anataka kuresit ila hataki kurudia masomo yote anatafuta credit moja tu. Sasa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni Mwalimu wa Biology & Geography naomba msaada kwa wale walimu ambao wanang'atuka kutoka private school to government school kama walikuwa wanafundisha masomo yaliyotajwa hapo juu naomba...
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Salaam kwenu wote Nina ndugu yangu ana kijana wake wa kiume ambaye mwaka huu atamaliza darasa la saba na takuwa na 11-12 years. Shida iliyopo ni kujua shule atakayokwenda huyu kijana baada ya...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
wakuu tagadhali wale walim ajira mpya tulio pangiwa halmashauri ya iringa dc tukutane hapa tufahamiane
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Moja ya mikakati ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika kuandaa walimu ni kuhakikisha kuwa wanaojiunga na Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada ni wenye sifa stahiki. Kwa...
0 Reactions
10 Replies
12K Views
Habari zenu wakuu, Maneno ya rais magufuli wakati akifungua hostel za UD, hii taarifa itawanyong'onyesha wamiliki wa vyuo vingine, TCU hawatakiwi kuwachagulia wanafunzi vyuo, wajichagulie...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wadau,kwa anaejua ada ya Nursery ya hyo shule niloitaja hapo juu naomba anisadie maana haka kashule.anachosoma mwanenu majanga hakuna lolote anachopata
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom