JAMHURI YAMUUGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZAMITAA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MASOMO YA HISABATI NA SAYANSI KWA MWAKA 2016/2017...
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kwa upande wa mfumo wa elimu yetu, nalishuhudia anguko kubwa la elimu likija kwa kasi. Wengi hamtanielewa, but mark my words.......
Kwa mwendo huu, taifa litaendelea...
Jamani ningependa kujua kama majibu ya zile corse walizotangaza kufundisha bure pale donbosco zimetoka au? Make sielewi walisema tareh 10 ila naona mpka leo ni 14
Hakyanani hili swali la somo la child right and development limenishinda
naombeni mnieleweshe ama msaada wa namna ya kulielewa;
Swali hili hapa;-
Child development undergoes different stages to...
Nipo mwaka wa mwisho pale DIT nachukua fani ya biomedical engineering naomba msaada wenu km kuna mtu anajua chuo chochote bora kinachotoa degree ya biomedical engineering.
Kwa wale Ma Hr au human resource
Je applicant no ni nini ?
Na unaipataje hii applicant no ?
Na inatumikaje applicant no ?
Nb wanarudishwa wale wenye applicant no kwanza
Hivi hii ni haki wahitimu kukaa mwaka mzima mtaani? Hadi content zinapotea. Ni bora uwepo utaratibu wa kuwaajiri hawa walimu hata mwezi wa kwanza wa kila mwaka, walau wawe mtaani kwa miezi mitano...
Wizara ya Elimu ilitoa tamko kuwa wanafunzi wote wasome sayansi, mpaka hapo walimu wa masomo ya Sanaa na biashara hawana soko tunasomesha wasomi baadae tunawatelekeza sisi wenyewe, kwa miaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.