Wadau kwa mliosoma advance combination za science naamini huyu Mkandawille mnamfahamu. Historia yake inasemekana alikuwa akisoma MD Muhimbili akaacha ili afundishe chemistry adv tuition. Kiukweli...
Kompyuta Programming ni kipengele chenye Umuhimu wa Kipekee kabisa Katika Uwanja wa masomo ya Sayansi ya Komputer, vile vile ni Msingi mkuu wa Karne Ya ishirini na Moja, Ambayo imetajwa rasmi...
Kama heading inavyosomeka hapo juu, mimi mwenzenu uvumilivu umenishinda, maisha ya chuo bila mkopo sio kitu rahisi, nimeamua kufungasha kila kilicho changu nimerudi home!
Mwaka huu ninatumai nitaomba kusoma chuo kataka ngazi ya bachelor degree, je! Kati ya Information technology (IT) na psychology and counseling bora nichague ipi??
NB: tayari nimeshajiriwa.
Jamani Mimi ni Mwalimu nimesoma B.A Ed.Sasa natamani kusoma Bachelor of Law Open University lakini sijui nitamudu vipi masomo yangu.Tafadhali naombeni mawazo yenu.
Wakuu na hitaji kujua Kuhusu business administration evening class utaratibu upoje Yani Ada, na muda wa kuanza na kumaliza vipindi nimeangalia prospectus na guide book haija elezwa
Asante sana
Kuna wakati unakuwa mahali, halafu unahisi kwamba ulishakuwa mahali hapo kabla, na pengine ukiwa na watu wale wale. Lakini, kwa unavyojua, hujawahi kuwepo hapo, wala kuwa na watu hao.
Hali ya...
habari,,wanajamvi wezangu,,,Mimi ni kijana niliehitimu kidato cha sita 2016 Ba kupata marks HISTORY=D,,GEOGRAPHY=C,,,,ENGLISH =C
Kwa anaejua cozi itakayo niwezesha kusomea masuala ya kupambana na...
Habari zenu wana jamii forums..natumaini wote ni wazima..hivi neno expression payment kwenye masuala ya motor vehicle insurance and policy ina maana gani .
Wakati chuo kikuu cha udsm kikielekea kwenye uchaguzi wa serikali ya wanafunzi daruso ambayo kwa siku za karibuni imekosa msisimko tofauti na miaka ya nyuma ambapo ilkuwa daruso inatoa viongozi...
Japo sasa elimu yangu ni ndogo (kidato cha nne, ila naendelea na masomo). Na malengo yangu nije kuwa mtu mashuhuli, kitaifa na hata kimataifa. Ila kikwazo kikubwa ni hii lugha ya kiingereza...
Naomba kujau tofauti kati ya hizo courses.
BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE Level 4
TECHNICIAN CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE LEVEL 5...
Barabara zinajengwa na Wachina, Wajapan, Waitaly huku upenuni kwetu, wanafunzi wetu wanajifungia tu vyumbani wakikariri vitu vya kizamani ambavyo katika Ulimwengu wa Engineering havipo tena.
Hivi...
Sasa pamezuka ubishi.. Paleee kijiweni kwetu tunapokunywa kahawa. Watu wamebishana weee mi nkaomba breki nkaja kuandika huu uzi.
Akaongea mdogo wake fataki bwana ' mnajua kuwafukuza shule watoto...
Jamani naomba msaada mnieleweshe,nataka kujiunga na chuo kikuu Huria Tanzania kwa Ngazi ya cheti katika fani ya human resource Management.....
Nilipata alama zifatazo;
1-Civics C
2-History...
Habari wadau!nasikia wanao soma kozi hii wanakwenda kuwa walimu, lakini pia nimesikia mtu anaweza kufanya kazi nyingine kupitia hii kozi.
Naomba kufahamishwa kwa mtu ambae kasomea Bsc with...
Daaah.....serekali ijaribu angalau kuangalia maisha ya waalmu jaman........kazi ni kubwa lakin mshahara mdogo......waalimu hawapati mda wa ziada kufanya extra work ili angalau kuongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.