Utakuta kuna kozi za bachelor of science with education ,bachelor of science in education pia bachelor of education and science .
Hizi kozi zinanichanganya sana hata sijui ipi ni ualimu na...
Natumai muwazima.
Nia yangu ni kupata msaada mimi ni miongoni mwa form 5 students katika tahasusi ya hgl lakini kutokana na hali ilivyo Sasa nimekata tamaa na ningependa kurudia tena mtihani wa...
Niende direct kwenye mada kwani kwa mtazamo wangu naona kuwa Tanzania kuna wanasayansi wengi tu katika nyanja mbalimbali kama madaktari, mainjinia nk lakini watanzania wengi wamezoea kusema kuwa...
Wana JF naombeni msaada naombeni mnitajie vyuo vya ualimu wa msingi vya serikali vinavyopatikana mikoa ya Kilimanjaro au A r u s h a kwa mwenye kufahamu
Poleni sana wadogo zetu mliochagua BAED kwa mwaka huu na wanaoendelea na masomo ya ualimu wa sanaa kwa aliyo yafanya sizonje ualimu wa sanaa si kipaumbele chenu tena anza kuwekeza kwenye boom...
Nina kijana wangu wa kike matokeo ya 4m 4 ana 2.21
Civ C
Hist C
Geog C
Kisw C
Engl C
Bios C
Phy F
Chem C
Math D
Anaweza pata sponsorship ya serikali/mashirika uyajuayo kusoma certificate ya...
B is a resident of kwetu district in the internet region. He got married to D in 2010.In may 2014 D brought divorce proceedings in kwao district in computer region. The district court dismissed...
Habari
Nilipoingia form six, nilikuwa PCM. Kwa kweli kombi ilikuwa ngumu sana. Nilikuwa na ndoto za kuwa engineer wa majengo.
Matokeo ya NECTA kutoka nikajikuta nami ni kundi la BASHITE...
Don't jokes with maths,ukijua recommended formulae unafilisi kampuni za simu.
What u think is small things make billion its only GP and AP which make Carlos Slim the second richest man on the...
Poleni na kazi ya kujenga Taifa wana JF
Katika kufanya tafiti zangu za kutaka kurudi tena shule kusoma masters, nimekutana na hii course ya PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT, lakini kuna vitu...
Wakuu bado nina mkanganyiko kuhusu masomo ya sayansi. Wakati nipo chuo niliambiwa kuwa geography ni somo la sayansi na economics ni sayansi jamii. Swali langu linajikita hasa katika kutofautisha...
habari zenu wana JF! nimekua na mipango ya kwenda kusoma ulaya kwa ajili ya kupata exposure lakini nasikia habari za ubaguzi hasa wa rangi! je vitendo hivi bado vipo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.