You’re most effective between when you wake up and when you eat dinner. You should accomplish as much work as possible during this time. What is your take on this?
Wizara ya Elimu ilitoa tamko kuwa wanafunzi wote wasome sayansi, mpaka hapo walimu wa masomo ya Sanaa na biashara hawana soko tunasomesha wasomi baadae tunawatelekeza sisi wenyewe, kwa miaka ya...
One of the University lecturers wrote an expressive message to his students at the doctorate, masters and bachelors level and placed it at the college entrance in the university in south Africa...
Wakuu naombeni ushauri wenu Katika swala Hili.
Kuna hizi course tatu ambazo nataka nichague moja nisome ila nataka kujua mawazo yenu Katika hili maana nikikosea huku chini ntakua nimejialibia...
leo najiskia kuandika tu humu leo,lol
najua mama ndalichako ana washauri wengi kutoka wizara yake,
ila sijui kama anashirikisha maoni ya wanafunzi katika kutoa matamko,
ningependa kumwambia awa...
Paul Makonda ambeye ni waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi wa MUCCOBS amewaragaraza marais zaidi ya sita kutoka katika vyuo vya elimu ya juu hapa Tanzania katika kinyang'anyiro cha kugombea...
Hii ilitumiwa na wamarekani in second world war baada ya wajapan kuingilia system yao ya communication.
Kinachofanyika ni kwamba kila alphabet inaasigniwa namba yake
Then wanatengeneza secret...
Waungwana mambo yamebadilika, sasa waweza soma oline na ukafika mbali na hii inawahusu hawa wanzangu namimi ambao muda wa kwenda darasani ni mgumu, option rahisi ni kusoma online. Leo nawaletea...
Kuna jamaa yangu ni general clinician ameniomba ushauri kuhusu specialization nikashindwa kumshauri. Awali alifikiria kuwa orthopedic lakini akahisi kama hailipi sana kwa tz au urologist vipi kwa...
Kuna chuo nimeapply nje ya nchi na wameniambia vyeti vya form 4 na form 6 vitumwe moja kwa moja na NECTA kwenda kwao. Je hii kitu ipo kweli? Nimewaambia naweza kuwatumia notarized copies...
Habari zenu...
mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2016
matokeo yangu nimepata DIVISION IV ya 27
ambapo alama zangu ni
CIVICS D
HISTORY D
GEOGRAPHY F
KISWAHILI C
ENGLISH C
LIT. ENGLISH F...
FANYA UNACHOPENDA
Siku zote unapofanya unachopenda unapata mafanikio yenye furaha sababu una amani na unacho kifanya ..sisemi kuwa kama unafanya usichokipenda kuwa hakileti mafanikio la hasha...
Salam kwenu wanajukwaa.
Mimi nilihitimu kidato cha sita miaka minane iliyopita, na baada ya hapo niliamua kujiajiri mpaka sasa. Nimeamua kurudi shule kusoma mambo ya afya hasa (Clinical officer)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.