Nikiwa ni mgombea urais wa daruso (Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha dar es salaam) kwnye uchaguzi mkuu unaoendelea chuoni sasa ni furaha yang sasa kushae nanyi wanajamvi wenzangu ili kwa...
Kwa yeyote aliye msoma anayekifahamu chuo cha ufundi kilichoko musoma kinachosimamiwa na taasisi binafsi ya kidini nisaidie mawasiliano na jina LA chuo hicho
Stori za Juma Rose and Baraka?
Hizi stori zilikuwa zinanikosha ile mbaya, mwanzoni ngeli ilikuwa haipandi kabisaa, ila nilikuwa nikiona picha za Juma,Rose na baraka stori ilikuwa inapanda...
Habari za mida hii. Naomba msaada wa vitabu vya a level audio books vya novels na plays. Naomba kuwasilisha. Ikishindana hata vya kawaida nikipata kwa pdf nitashukuru pia.
Kama mada ilivyo... Mimi nilisoma Diploma na niko kazini tayari. Nimeshakuwa na familia tayari. Nahitaji kujiendeleza kielimu ila kutokana na mambo ya familia nahitaji nisome wakati naendelea na...
Wana JF
naomba kupata msaada wa links au websites ambazo zinaweza kunisaidia kupata mitihani mbalimbali ya primary english medium kwa masomo mbalimbali kuanzia std one up to seven, pia nahitaji...
Wakuu suala la ukosefu wa maji hapa udom college of education limezidi kushika kasi hasa kwa wiki hii, maji yamekuwa yakitoka kwa nadra sana tena katika block chache sana (si zaidi ya 4 kati ya 20...
Ikiwa imepita miezi kadhaa tangu wahitimu wa UDOM kuweza kuliwakilisha taifa kwenye mashindano ya 2016 MTN Entrepreneurship Challenge, Wahitimu hao wamekuwa tena washindi wa mashindano...
Kabla ya yote ninatoa pongezi na pole nyingi kwa majukumu mazito ya kulijenga taifa letu uliyonayo.
Baada ya hapo mimi ninaitwa Theodory Byabatto mkazi wa Dar es Salaam. Ni mjasiliamali...
Kuna vyama vingi vya walimu kama vile CWT, CHAKAWATA, n.k. Kila siku nasikia vilio vya walimu wengi kuhusu kutosaidiwa na vyama vyao wakati wa shida. Mpaka sasa nahisi vyama vyote ni majanga...
Kuna tofauti gani kati ya bussines information technology( BIT) na information technology (IT)...maana nashindwa kuelewa ...mwenye uelewa apo anieleweshe tafadhari
Hi,
Najua kabisa humu ndani kuna watu wenye full information kuhusu ajira za walimu Wa msingi na sekondari tunaombeni msaada wenu kwa kutushauri au kutupa angalau siri kidogo kuhusu ajira hizi za...
Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO), imeanza uchunguzi ili kuwabaini wanafunzi wa chuo hicho, ambao wanajihusisha na biashara ya...
Front Seat at the Slow Death of Nature
This is not a so beautiful photo. I am standing at the rocky bed of the dried Great Ruaha River. Before 1993, no person had ever seen this sad nakedness of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.