Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mimi nimehitimu kidato cha nne mwaka Jana ila huko Uganda na nikabadili matokeo yangu yakawa ya Tanzania sasa sijisikii kwenda Advance nataka niende Chuo sasa naomba msaada niende Chuo gani maana...
0 Reactions
6 Replies
852 Views
Pata uchambuzi wa jinsi gani wanafunzi wanafanya kwenye matokeo ya form four kutoka matokeo dot co Pia ukiwa hapo angalia jinsi wanafunzi wanavyo ongezeka pamoja na namba ya shule zikiongezeka
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ukifatilia majina ya wahusika wa vyeti feki karb kila mkoa utagundua wapo ambao mwajiri wao ni RAS. Je ni nafas zipi hizo ambazo RAS huajiri??
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana Jf na poleni kwa majukumu Bila kupoteza muda naomba kujuzwa mambo machache kuhusu mkuranga Halmashauri ya mkuranga ina 1:shule ngapi za sekondari 2: kati ya hizo shule ,shule...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mwenye uzoefu na vyuo vya Kenya Diploma niliyoitaja ada ipoje, duration, qualification ya kujiunga campus gani itanifaa mimi nina certificate ya ICT. Karibuni bandugu wote.
0 Reactions
0 Replies
807 Views
kipi kizuri kwa utoaji wa diploma of electron and electrical engineering kuanzia lectures,practical na ufaulu JE kuna utofauti wa "diploma of electrical" na diploma of electron and electrical...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Yani namchukia Magufuli haswa yeye kwa namna moja au nyingine ndiye amesababisha maisha yangu ya chuo yawe magumu mpaka natamani kuacha chuo nikafanye mambo mengine kusudi nipate pesa za kunikimu...
39 Reactions
158 Replies
12K Views
Nimeanza mwez wa 3 halaf M TT Tar 29.5.2017 na Annual examns 9.6.2017 wazee nisome kwa technique gani ili nitoboe nimechagua masomo manne karibuni
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani msaada hivi ukihama kozi ndani ya chuo hicho hicho kutoka kozi moja kwenda nyingine na mkopo ukawa unapata kule kwenye kozi ya kwanza ambayo umehama ivi kuhamisha ili uje kozi mpya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za mchana wadau. Mimi nlipata matatizo nikaacha chuo bugando. Bahati nzuri mungu kanikumbuka nmepata sponsor anataka nisome education in biology and chemistry mpaka PhD. Lengo niwe lecture...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wapendwa, Lengo la kuanzisha uzi huu sio kujisifia kwa kupewa suspension shuleni, najaribu kukumbuka tu yale yaliyofanya nikapewa suspension shuleni. Nakumbuka katika maisha...
3 Reactions
105 Replies
10K Views
Kubadilika badilika kwa mifumo ya elimu nchini bado kunarudisha nyuma elimu yetu ubora wa sera ya elimu Tanzania haujawahi kutulia miaka ya 2015,2026 tumeshuhudia vihoja vingi katika elimu yetu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Lini majina yatatoka kwa shule za serikali! ? Kuna shule private zilifungua mwezi wa tatu! Kayumba tutangazie tutafute ada na mahitaji mengine mapema.
1 Reactions
23 Replies
9K Views
wakuu, habari za Asbh, natumai mu wazima.....Jana katika pitapita yangu Maeneo fulani hapa Dar TZ nikakutana na kijana Jina lake nalihifadhi, Form six alipata one ya PCM na kuchaguliwa kujiunga na...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Najua mnaosoma vyuo vya st, mmenielewa. 1. Hawa ndio wanaoongoza kwau uoga 2. Hawa ndio wanaoongoza kwa kuishi maisha kama ya primary au secondary ( sheria za vyuo) Ongezea na mengine
3 Reactions
23 Replies
2K Views
MSc. In Natural Resource amnagement Wakuu naomba kujua kuhusu hii kozi kwa chuo cha dodoma hasa marketability yake Ada yake kwa mwaka Nature ya masomo yake na ugumu wake... Nataka nikaisome...
0 Reactions
2 Replies
925 Views
Delete this Moderator haina umuhimu tena
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za weekend wana jukwaa hili la pendwa la Elimu(Education Forum)? Poleni sana na majukumu. Mimi ni Kijana wa miaka 19 nategemea kurisiti mwaka huu masomo ya -History -Geography -English...
0 Reactions
51 Replies
15K Views
Kama wenye vyeti feki wamefukuzwa, je serikali haioni kwamba hata idara zilizohusika kuwaajiri zinamatatizo na zinatakiwa kuwajibika kwa kukosa weledi wa kuhakiki watumishi kabla ya kuwapa ajira...
0 Reactions
3 Replies
735 Views
Salaam, Mungu awabariki wote wenye mioyo safi. Na wenye mioyo michafu Mungu awasafishe nyoyo zao. Nikifwatilia waliochaguliwa kidato cha tano mwaka 2016/2017 kuna Private Candidate zaidi ya mia...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom