Habari zenu wapendwa ?
Ni miezi 6 sasa tangu nilipofanya transfer ya chuo mwaka ulioisha
Nilikua napata mkopo kama kawaida lakini tangu nimehama mpaka sasa sijasaini hata shilingi tano
...
Habari zenu wana jamvi lengo la kuanzisha Uzi huu ni kwamba nina tafuta ujuzi wa kutumia PIONEER vizuri ili niweze kuwa dj sasa ni wapi nitapata mafunzo hayo na pia uhakika wake wa ajira upo vipi...
Wadau habari na mdogo wangu kasoma nursing ya mwaka moja anaweza soma certificate ya nursing mwaka moja matokeo yakidato cha nne physics D biologyD chemistry C mengine F anaweza akaomba nacte...
Uamuzi wa Serikali wa kuwafukuza kazi watumishi wanaodaiwa kughushi vyeti, umezidi kuchukua sura mpya, baada ya watumishi sita wa Halmashauri ya Kilwa mkoani Lindi kufungwa jela mwaka mmoja kila...
Inashangaza sana katika zama hizi za teknolojia, vyeti vya kuhitimu kozi mbalimbali imekua shida kutoa. Mbaya zaidi wamekaa kimya bila kutoa sababu za kuchelewesha vyeti kwa wahusika. Hili swala...
Wadau tafadhali msaada nimekutana na wahitimu wanaodai wana Vyeti vinaitwa Advanced Diploma nataarifiwa "eti" kuna sehemu wanalinganisha na shahada ya kwanza ya Chuo kikuu. Tafadhali mwenye ujuzI...
Ndugu...
Mimi ni mtahiniwa wa kujitegemea (PC) nafanya mtihani wa kidato cha sita kuanzia leo.....
JF ni tanzania nzima na ofisi zote za umma na binafsi, ni ya watu wajuzi na uelewa mpana wa...
Naomba kuuliza kuhusu mtu aliyesoma Bachelor of art in economics ,kazi anazofanya na wapi n.a. wapi anaapply na vip kuhusu soko la ajira katika kozi Hiyo ?
Habarini wanajamiiforum,
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha sita mchepuo wa PCM 2016,nimebahatika kuupata div 2 ya point kumi,sasa katika kuchagua vyuo mimi napenda kusoma engineering...
Imegundulika kuwa zile Shule au Taasisi za Elimu ya juu ambazo Walimu wake wengi wa Kike hupendelea sana kuvaa ama Kimini au Nguo za kubana kabisa wawapo darasani wakiwa Wanafundisha 99% ya...
Nimemakiza kidato cha 4 mwaka 2015 nikapata 3 ya 24 PHY D, CHEM D, KISW C, BIO C, MATH D, CIV C, HIST D, GEO D, ENG C, Naweza nikasomea chuo cha ufund maswala ya umeme "electrical" kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.