Shule ya sekondari mtwango, inatangaza nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2014 kama ifuatavyo;
1. Kidato cha kwanza
2. Kuhamia kidato cha pili, tatu, na nne
3. Kuhamia kidato cha tano katika...
Hivi wakuu kati ya nursing na clinical medicine IPI kozi nzur kwan guidebook ya 2017/2018 certificate ya nursing ni C mbili chm& bioz na D physics but certificate ya clinical medicine ni D flat PCB
Wakuu naombeni msaada kuhusu bodi ya mikopo,inafunguliwa lini kwa sababu watahiniwa wa kidato cha sita wanasubiri ili waanzake kutuma maombi.MSAADA TAFADHALI
Kwanza nianze kwa kuomba samahani kwa uzi huu mrefu
Mimi ni kijana wa kiume nna umri wa miaka 22, nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2013 katika shule ya jeshi makongo (dar es salaam) nikafaulu kwa...
Lini Dr. Magufuli rais wetu mpendwa utaitembelea chuo cha ufundi Arusha? Kuna ufisadi wa kutisha.
Mkuu wa chuo ana PhD feki, amenunua vyombo vya serikali ikiwamo Takukuru.
Jengo la km Tshs. 3...
Habarini na poleni na majukumu ya hapa na pale....
Nahitaji kufahamishwa shule ya ridhwaa seminary ipo maeneo gani???ila Mimi nachojua ipo wilaya ya Kinondoni lakini sijui ni maeneo gani kwa...
Poleni na kazi wadau,
Mimi nilisoma certificate katika chuo cha uhasibu kilichopo Ukonga (ACOM) na nikajiunga na diploma hapo hapo na nikamaliza na matokeo yalipotoka nilipata Overall ya 2.6 GPA...
Tafadhali ndalichako wasisitize bodi Husika ya mkopo Mwaka huu tunaomba pesa za field tulipwe kwa mkupuo usitupe nusu nusu kama Mwaka Jana unatuharibia malengo yetu Wengine pesa izo pesa...
Kuhusu hii admission mpya iliyotolewa na TCU na kuhusu cut point na marks zilitumika mwaka Jana na zitakazo tumika mwakahuu I mean grade atueleweshe nahic kama 4m 6 waliomaliza wengi mwaka Jana...
I need someone to sponsor me for clinical medicine
Habari zenu wakubwa, natafuta sponsor wa kunisaidia financially, for school fees katika kipindi hiki cha masomo, kozi itaanza 25/9/2017...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.