Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu amani ya bwana iwe nanyi, Juzi kati nipo katika route zangu za kusaka mkate nikapanda mwendo kasi from kimara to Gerezani, Ile tumefika pale mapipa akaingia mzee mmoja hivi chek boob ana...
9 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakuu naomba kufahamishwa juu ya hii shule iliyoko Kagera wilaya ya Biharamulo, katika swala la mazingira, taluuma na pia miundombinu ya umeme kwaajili ya kujisomea na pia maji. Nawasilisha kwenu...
1 Reactions
22 Replies
10K Views
Much / many exercises Decide whether you have to use much or many: We saw _____ animals at the zoo.How _____ oranges did you put in the box?There isn’t _____ sugar in my coffee.I don’t have...
0 Reactions
7 Replies
717 Views
Kwav yeyote anaefahamu gharama za kusoma makongo high skul, naomba anipe mchangauo wa, 1. Ada 2. Hostel 3. Na mengineyo km yapo
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Tusaidiane 1.Eti certificate wanayo itaja kwenye maitaji yakufanya maombi dit ni leaving certificate au result slp? 2.Na ukisha Fanya maombi majibu yanatoka muda gani? 3.Je katika adda yao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani wakuu naombeni msaada kwa anae jua namna ya kusitisha masomo me nilikua nasoma clinical medicine chuo cha private ikafika mahali wakawa wanamindi ada yao kulipa nikashindwa kulipa jamani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samhnini ndg zang ngependa kuulza kwa mwenye uzoefu na shule tajwa hapo juu je inamichepuo ya sayansi??? Pia ni ya mchanganyiko au ni ya wavulana tuuu??? Naomben msaada wenu!!
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Nilimaliza sekondary 2012 na kupata points 28 kwa D ya masomo 7 yani bios,geog,civcs,history kisw,book keeping,commerce .Je kwa koz ya community health naweza somea?? Or ni koz ipi naweza somea...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Wadau habarini za jumatatu, naombeni mnisaidie kufahamu vyo vya kati na vya juu vinavyotoa fani za urubani na maswala ya anga (Pilot studies and aviation management or any other related courses)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtanikosoa , nadhani mwaka jana and the year before ni kuwa kama ulikuwa unajaza na huna credit zinazoruhusu, system ilikuwa ina ku-reject outright. Ni kweli kuwa unaweza kujaza hata kama umepata...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Nimefanya tafiti zangu nikagundua sisi wenye vielimu vyetu kadigree kamoja tunatusua kuliko wenye maelimu makubwa Hebu tusaidiane nini sababu ili tuwaelekeze vyema watoto wetu nini cha kufanya...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Mwenye G.P.A ya 1.4 anaweza kusomea ualimu wa daraja IIIA kwenye chuo kisicho cha serikali.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naomba kujua cha kufanya ili uwe lecturer
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Habari, Kama title inavyojieleza ninatafuta mwalimu mtaalamu wa lugha ya kiingereza, ninatarajia kupata wageni wakorea, wanajua lugha ya kiingereza ila wanataka kuendelea kujifunza na kuweza...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ombi langu kwa viongozi wa serikali jamani tunapigwa penalty eti kisa nimechelewa kulipa Ada hii ni haki? Sisi Wengine watoto wa wasaka tonge tunakaa wapi izo pesa? Tembeleeni vyuo vya private...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wanajamvi! Mimi ninawatoto wanamatatizo ya kutokuwa na hakili darasani ,najitahidi kuwapeleka masomo ya ziada kwa ushauri Wa walimu lakini bila mafanikio.Na ninajitahidi kutafuta pesa ili...
5 Reactions
130 Replies
11K Views
Wakuu naombeni msaada wenu course ipi ni bora na kwa nini kati ya Bachelor of Human Resources Management, Bachelor of Art in Natural resources Management na Bachelor of Art in International Affairs.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ofisi ya Rais TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016. Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na...
7 Reactions
260 Replies
206K Views
habari wakubwa. Mwenye contacts ya shule ya private a-level ya ada nafuu ambayo inachukua CBG naomba ani PM.
0 Reactions
1 Replies
797 Views
Back
Top Bottom