Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani eti waliochaguliwa lujiunga na advance 2017 wanataliwa kuripoti shuleni lini
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama PhD 17 za Benki Kuu ya Tanzania ( BOT ) zimeshindwa kusimamia Rasilimali na Uchumi wa nchi hii hadi kuliingiza Taifa katika hasara kubwa ya Matrilioni ya Shilingi je kuna haja ya Watu wengine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Masters Degree Programmes Hiki chuo kuna anyekijua, NATAKA KUSOMA
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Hellow wakuu, Nina mtu wangu wa karibu amepoteza cheti original cha matokeo ya kidato cha nne, lakini amebaki na photocopies zake tu. Je kuna namna yoyote hizi photocopies zikawa certified bila...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mara nyingi mtaani utasikia watu wakisema, “Jamaa anapiga slang si mchezo.” Wengi hudhani “slang” ni Kiingereza cha Kimarekani. Lakini maana halisi ya “slang” ni lugha ya mtaani. Ni ile lugha...
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Nimeifuma hiyo ikizunguka, nadhani kuitafakari ni faida. UHALALI WA “TITLES” NI NINI? Kuna aina nyingi za “title” lakini si kweli kwamba mtu yeyote ama bodi yoyote inaweza kuibuka na “title”...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nmehitim 4m4 mwaka Jana Matokeo angu yakawa division 4 ya point 26 History D English C Literature C Kiswahili D Civics D Geography D Biology D Mathematics F Sasa nlikuwa Nina hamu ya kusoma...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
naomba kujua haya: ninawezaje ku apply chuo fulani mfano udom moja kwa moja? je board ya mikopo itaanza lini kuruhusu watu waombe?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar et wale watunga Sera(policymakers) huwa wamesomea course gani na hapa Tanzania IPO chuo gan msaada plz
0 Reactions
0 Replies
632 Views
habari humu ndani,nina mdogo wangu kamaliza four ila kapangiwa shule na comby ambayo hakuchagua. Na cha ajabu hata hiyo comby aliyopangiwa kwenye hiyo shule aliyopangiwa haipo. Je inawezekana...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Naomba kujuzwa jamani IPI ni nzuri na mishahara yake ipoje?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza.Yeyote mwenye soft copy ya Public Procurement Act anisaidie Ahsanteni sanah!!
0 Reactions
5 Replies
722 Views
Ni miezi mitatu imepita tangu serilikakali itoe ajira za walimu za mwaka 2017. Inasikitisha kuona serikali hii inayojiita ya kazi tu, na inayojitapa kukusanya matrioni kwa kila mwezi, ikishindwa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2017/2018. Masomo yanatarajiwa kuanza mwezi Septemba, 2017...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
msaada Kwa mwenye taarifa Kuhusu kyela Secondary
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Naomba kuuliza kam kubadili combination inawezekan kutok art kwenda science kwa matokeo haya CCC kweny subjects combination Msaada tafadhari kwa anaye fahamu
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Jamani nina point tano za masomo katika kombi yang ya PCM yan A ya mathe zingine B nilikua nauliza kama kuna uwezekano wakuamia special xul maana nimechaguliwa shule ambayo binafsi sijaipenda na...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari zenu?! Naomba kufahamishwa kama ni lazima kwenda jeshini kwa wahitimu wa kidato cha sita. Ukizingatia nina matatizo ya kiafya..asanteni
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani tusaidiane hapa katika kufahamishana, ni mbinu zipi ulizotumia hadi ukafanikiwa kupata scholarship ya kusoma masters au PhD yako. Kuna wengine tunaaaply kila mwaka na tunakosa, tafadhali...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Chumba chenye urefu wa sm10000 na upana wa sm4000 kitahitaji tiles(marimari) ngapi? iwapo tile moja ina umbo la mraba na upande mmoja una sm5?[emoji538] [emoji540]
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom