Habari za jioni Kamarada,
Waswahili tuna msemo wetu "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Mimi nina kijana wangu ana about 5yrs, nataka nimtafutie shule ambayo inafundisha michezo na elimu nyingine...
Wanafunzi 499,274 asubuhi hii wanaanza mtihani ya kumaliza elimu ya kidato cha nne wakianza na somo la Hisabati ambalo kwa sasa ni kama janga la Kitaifa.
Matokeo ya mwaka jana kitaifa kwa somo...
Habarini wakuu...
Hii ni baada ya kubadilishwa kwa mfumo wa nacte kuwa NECTA.
Wanafunzi wa vyuo vya ualimu vya serikali ikiwemo Mtwara (k) teachers college waagizwa kulipa fedha ya necta Hali ya...
1.Inawezekana mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne nchini Kenya kuja kuendelea na masomo ya chuo Kikuu nchini Tanzania pasipo shida au tatizo lolote lile
2.Nahitaji kujua kama necta wana matawi...
Natumai mko salama, naomba niende moja kwa kwenye swali
Baada ya mheshimiwa kuingia madarakani alizuia uhamisho wa aina yoyote ili kupisha zoezi la uhakiki.Kwa bahati mbaya sijawahi kusikia kuwa...
Kutokana na kuanzishwa kwa shahada hizo, Mkuu wa Chuo, Dk. Henry Mambo, amewataka watumishi wa umma wenye sifa kuchangamkia nafasi hizo za masomo kwa manufaa yao binafsi na taifa kwa ujumla...
Wakuu ninaomba mwenye uwelewa na hali halisi ya maisha ya Lindi mjini vipi gharama za maisha na mengineo mahali pa kuabudia yaani makanisa. Asante.
Na vipi maduka ya smartphone simu Maana...
Kada zote Tanzania mtu anapoongeza elimu na kima cha mshahara pia huongezeka.
Cha kushangaza katika kada ya elimu tu hiko kitu hakipo, tatizo ni nini mbona Walimu wananyanyaswa sana na kufanywa...
Nimechagua kozi, say fifth choice, lakini nina div 1. Mwingine akachagua kozi hiyo hiyo ikiwa ya kwanza (first choice) ana div. 2. Kati ya hawa nani atapewa kipaumbele.
My thinking ni kuwa kama...
Kwa bahati nzuri au mbaya nina watu wa karibu waalimu wengine shule za msingi wengine shule za sekondari.
Kwakweli nakereka sana juu ya tabia za waalimu makazini
Hawa watumishi hawapendani wao...
Picha hii ilipigwa na Fadhy Mtanga kwa simu yake ya kiganjani, baada ya mimi kumwomba afanye hivyo. Tulikuwa tumeketi mgahawani, ndani ya viunga vya uwanja wa ndege wa JKN, ndipo alipoingia mzungu...
Habari za muda huu wadau wa Elimu Tanzania.
Bila kupoteza muda,nimekuwa nikipitia Guide book ya NACTE mara kwa mara ili kutafuta kozi ya kusomea.
Lengo langu ni kusomea CIVIL ENGINEERING ngazi...
Wakuu chuo cha MUCCoBS [ Moshi University College of Cooperative and Bussiness Studies ] kinabadilika kuwa chuo Kikuu kamili ambacho kitaitwa MoCU[ Moshi Cooperative University] mabadiliko hayo...
Inasikitisha kuona serikali hii inayojiita ya kazi tu, na inayojitapa kukusanya matrioni kwa kila mwezi, ikishindwa kuwalipa pesa za kujikimu walimu elfu 3 tu wa ajira mpya 2017. Sio hali ya...
Habari wadau, naomba msaada wa kudownload vitabu kwenye mtandao bure bila kulipia.
Mfano
Nataka kitabu hichi
Principles of soil chemistry. Fourth edition by kim H.Tan
Please naombeni msaada wetu...
naomba kujua kama mtu yoyote anakijua chuo cha nyamwezi ttc na kikoje ktk kozi kozi ya ualimu wa shule za msingi na maana mazingira yake,ufundishaji, na vitu vingine,,
Wana bodi naomba kwa mara hii tu ya kwanza niseme kitu,
nisikae kimya bure huku nisema pembeni kama majungu,
kwa haya niyaonayo katika elimu na sera zake za sasa.
Nataka kujua kama elimu yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.