Matukio ya watoto wa kike kupata ujauzito yanaongezeka. Kwa mujibu wa Takwimu za Elimu (BEST) wanafunzi 4,718 wa sekondari kwa mwaka 2012 na 3,439 mwaka 2015 walikatishwa masomo yao kwa sababu ya...
Ikunda Erick
HabariLeo; Wednesday,October 10, 2007 @00:01
Hakuna asiyejua umuhimu wa elimu, na ili kuwa na maisha bora yenye mwelekeo ni lazima uwe umepitia ngazi mbalimbali za elimu ambazo...
Habari wakuu
Napenda ulizia kwa yeyote mwenye kuifahamu/aliyesoma/ anayesoma/ hii course ya BSC.BIOMOLECULAR AND LABORATORY SCIENCE inayotolewa chuo kikuu SUA kuhusu msuli wake..,ajira...
Uzi huu ni kwa wale wote ambao wamefanya application kwenye kozi zote za Afya kuna mengi ya kushauriana, maswali juu ya kozi husika na maswali juu ya vyuo husika..!!
Karibuni sana kwenye mwaka wa...
Kama kichwa cha Habari Leo nimeona niwakumbuke watanzania wenzangu hasa wale wanafunzi wa vyuo vyote kuepuka kupata Supplementary
1.jitambue wewe ni Nani hapo chuo umefuata nini.
2.Jione kuwa...
Tukiwa bado hatujaanza kutupa
karata zetu kwenye mambo ya
udahili 2017/2018 nilikuwa
naomba msaada juu ya hii koz
Ya oil/petroleum & gas ambayo
haina miaka mingi Hapa tanzania
Ktk vyuo...
Tuache unafiki kama kweli sisi ni wacha Mungu na tunaamini Mungu yupo, basi tuache kuwafundisha watoto wetu Darwin's evolution, tufute hii Mada, kinyume na hapo ni unafiki tu na kukesha Kanisani...
Umasikini wa mawazo ni kitu kibaya sana katika maisha ya mwanadamu. Hali hii humfanya mtu kushabikia kila kitu kinachosemwa na binadamu mwenzake hata kama ni cha hovyo.
Juzi kiongozi fulani...
Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha...
Habar ndungu wana jf.
Naombeni msaada wa kimawazo ni jinsi gani naweza badili course kwa mwaka wa masomo 2017/2018 ambapo awaki nilikuwa nasoma degree ya building economics ila sijaipenda kwa...
Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu. Nimepata kusikia kidogo kuhusu kozi ya Doctor of Pharmacy(pharm D.)
Naomba kufahamu kama kuna chuo tanzania kinatoa hyo koz au kama kuna mpango wa kuianzsha...
Habari zenu Wakuu Katika Matokeo Yangu ya Kidato Cha NNE nilipata F ya Mathe Na F Ya Physics na Sikufanya Paper La Chemistry Natamani nirudie mtihani Kwa Masomo Mawili P&Chemistry je Kanuni Za...
Nimesomea degree ya ualimu nikapata gpa ya 3.0 "lower second" kwa masomo ya kiswahili na political science.
Kutokana na hali ngumu ya ajira nimeona niendelee na masomo ya masters.
Je ni kozi...
Kuna uwezekano karibu vyuo vyote vya TZA vinazalisha vilaza wa kutosha kwani kwa mujibu wa takwimu la shirika la URAP (University Ranking by Academic Perfomance) inaonyesha ni vyuo viwili tu...
The right to education is a fundamental human right. Every individual irrespective of race, gender, nationality, ethnic or social origin, religion or political preference, age or disability, is...
Imezoeleka kwa miaka ya nyuma bodi ya mikopo huwa inaruhusu mapema tu watu kuanza kujaza form za mikopo.
Naona mwaka huu ni bado kimya, au mwaka huu kuna utaratibu UPI? Kwa anayejua atujuze tafadhali.
Katika kuelekea kumaliza bachelor yangu nimebakiza wiki kama mbili ili nirudi mtaani niangalie natoka vipi kimaisha but nimeyashuhudia mengi sana ila leo ni base kwa upande wa akina dada
1. The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.