Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Anonymous
Kumekuwa na changamoto ya mazingira ya chakula hasa katika hizi Shule za Serikali zinazowaweka Wanafunzi bwenini. Mara kadhaa Wanafunzi wamekuwa wakilalamikia uhaba wa chakula lakini suala hili...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Anonymous
Tunaomba Mtufikishie malalamiko haya Ngazi za Juu Habari wahusika wa Mtandao wangu pendwa wa Jamii Forums, Kuna shida Mwanza katika Chuo kikuu cha SAUT ambacho ni takribani miezi minne sasa...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya wanafunzi wa Bachelor's walichaguliwa kujiunga na chuo mwaka jana wakapokelewa chuoni na wazazi wakalazimishwa kulipa 60% ya ada halafu sasa hivi wazazi wanapigiwa simu na kuambiwa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa wenye kumbukumbu nzuri, mtakumbuka kipindi Rais akitanganza azimio la kuondoa ada kwa shule za msingi za umma. Rais alitaja shule sita kuwa shule hizi zitaendelea na utaratibu wa ada na kati...
4 Reactions
26 Replies
12K Views
https://www.math.tugraz.at/~elsholtz/WWW/papers/papers14faber.html https://explainingscience.org/2019/09/01/the-goldbach-conjecture/ Mnamo 1742, Mwahisabati nguli kwa jina la Christian Goldbach...
1 Reactions
3 Replies
450 Views
Kwa Mujibu wa Jarida la Higher Education University Ranking,Tanzania imeingiza Vyuo Vikuu 2 kwenye List ya Top 10 Best Universities.. Vyuo hivyo ni Muhimbili University of Allied Sciences nafasi...
4 Reactions
35 Replies
6K Views
Salaam, Dogo anapitia changamoto anashindwa kulog in katika hizi akaunti zao za Selform ili kuedit Machaguo, kwa mliofanikiwa mmefanyaje maana nimejaribu pia nimeshindwa. Username inayotumika ni...
0 Reactions
2 Replies
680 Views
Kuna mdogo wangu alisoma PCB form six akafaulu kwa div one. Aliomba chuo mwaka jana course za afya lakini hakufanikiwa akadai ataenda chuo mwaka huu 2024/2025. Mwaka huu anasema anataka akasome...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani mimi kijana umri wangu miaka 26 niko Mbeya, elimu yangu ni degree niliyoipata katika chuo cha udom na fani niliyosomea ni ualimu kwa bahati mbaya sijaajiriwa lakini bado najitafuta. Kwa...
2 Reactions
0 Replies
317 Views
Mtaala mpya unapendekeza Walimu wa vyuo vya Kati vya ualimu wawe na shahada ya Pili (master degree) ya Elimu je utekelezaji wake umeshaanza? Je wale ambao wapo mpaka Sasa vyuoni na hawana sifa...
5 Reactions
9 Replies
5K Views
SANAA YA MUZIKI HAIPEWI NAFASI MASHULENI LIKIJA SUALA NZIMA LA UIPUAJI WA VIPAJI MASHULENI TOFAUTI NA ZAMANI.. Serikali imekuwa ikiimiza michezo mashuleni ili kuibua vipaji na kuendeleza ...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
Hivi zile slides ambazo walimu vyuoni wanakimbizana kumaliza Kwa haraka huku wanafunzi wakishindana kukariri (Kuzima moto) zina Ufanisi wowote au tunazidi dumaza elimu yetu?
1 Reactions
7 Replies
473 Views
Anonymous
Chuo cha uhasibu Arusha (IAA) kimekuwa na gharama kubwa ya malipo ya Ada kulinganisha na vyuo vingine vya serikali pia mlipaji hapewe mchanganuo wa malipo hayo ya Ada. Kiasi kilicho pelekea...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Chuo cha DMI (Dar es Salaam maritime institute) kuna changamoto wanafunzi tunapitia. Watu wanalipa ada na pesa ya usajili ambayo kwenye iyo pesa ya usajili wamechanganua kua kuna kupatiwa ID...
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Nakumbuka kila assignment tutakayopewa either iwe individual au group sisi tunatumia tu bot letu kwisha kazi hakuna cha kwenda library wala nini, kwnz hata discussion hakuna ni bot ty daaah hili...
3 Reactions
44 Replies
2K Views
Naomba kujua, wanafunzi wa kwenda vyuo vya Kati tayari wameshaenda ama vipi? Kuna vyuo nimeomba lakini Mpaka Sasa sijapata taarifa zao, naomba msaada.
2 Reactions
3 Replies
900 Views
Naomba msaada wa uelewa kwa wale wanafunzi walio hitimu vyuo vya kati ngazi za diploma na wakawa wamepata vyeti katika mfumo wa NON NTA. Kwa maana nyingine walio soma certificate mwaka mmoja na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jamiiforum Kuna ka swali hapa ka O level kana sumbua hivyo nataka kuwasirisha kwa watabe wa jamii forum ila niweze kupata solution yake SWALI : 2^(8-x) = 8x Yaani...
9 Reactions
195 Replies
8K Views
JamanI naomba ushauri Kati ya Chuo cha afya Lugalo na kibaha kipi kizuri zaidi cha kwenda make mdogo wang kapata hivyo vyote wamemuhita sasa kipi kizuri cha kwwnda? Na je, ada zao zipo sawa ama...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu naomba kama kuna mtu ana notisi za kiswahili (kidato cha pili) au link ambayo naweza kuzipata anisaidie! Nataka kumsaidia kijana wangu
0 Reactions
2 Replies
332 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…