Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wana Jamii.. Nilikua naulizia kama kuna mtu anamfahamu mwalimu wa Excel na tally tuwasiliane tafadhali. 0712220207
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Ninaomba mwenye uelewa wa shule nzuri kielimu kuanzia chekechea hadi msingi Ninaomba anijulishe,jina la shule ,gharama zake na hata namba za simu kwa jijini Mbeya Ninaomba anijuze...
0 Reactions
5 Replies
579 Views
Wataalam wa elimu hii division three au four? Kama ni division 3 ni division three ya ngapi? Civics C pass History C pass Kiswahili C pass Commerce C pass English D pass Biology D pass Georgraphy...
2 Reactions
51 Replies
2K Views
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza kutoa mikopo ngazi ya Diploma kupitia bodi ya HELSB MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI WA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2023/2024 MAELEKEZO...
5 Reactions
33 Replies
13K Views
Habari wakuu. Kijana wangu anaandika mtihani wa darasa la saba wiki ijayo. Najaribu kutafuta na kulinganisha shule za sekondari kwa ajili yake. Anapenda sana masomo ya sayansi, hasa kwa vitendo...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwalimu Julius Nyerere Readership School: Leadership Training Calendar - 2024
0 Reactions
3 Replies
349 Views
Nina mdogo wangu nataka kumsaidia asome ufundi, lakini nikimtazama umbile lake, urembo wake nashindwa kumtaftia nini cha kusoma. Angekuwa wa kiume ningempeleka VETA Shiyanga asome iether machine...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam wajuzi wa mambo. Nimemaliza kidato cha nne, nina kiswahili C, English C, chemst D, biology C. mengine nimefeli yaani F. Lakini natamani kuwa hakimu, naomba kuuliza kwa ufaulu huu naweza...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Anonymous
Mimi ni mkazi wa Tabora, kuna hoja naomba nishee na Wana JF, ipo hivi, Watoto ambao wanasoma Shule ya Sekondari Sikanda kama akichelewa kuripoi hata kama ni siku moja tu, mzazi wake anatakiwa...
2 Reactions
4 Replies
416 Views
Baadhi ya Shule za Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto zimekuwa Mzigo kwa jamii kwani Bado shule hizo Mfano wana waagiza wanafunzi Review ( rejea)za masomo kitu ambacho rejea hizo zilipigwa marufuku...
0 Reactions
1 Replies
477 Views
Habari wakuu, Nimekuwa nqjitahidi kuomba scholarship za nje, master's degree, lakin nakosa toka mwaka juzi. Niliomba Pan African, Korea, na UK. This time nimeomba Pan African, na kwa wiki hii...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Kwa watumishi wa Afya mnaojua naombeni msaada.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Staff na alumni wenzangu hili vipi? Tutumie nyenzo ipi kueleweka? Kwanini basi VCs kwenye vyuo hawalalamiki hali ya vyuo vya serikali sasa hivi?! Acha niongelee chuo kinachonihusu. Mzumbe...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Niko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma UDSM college moja iv ya science. Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE...
0 Reactions
8 Replies
809 Views
Habari za midahii wana jf.Mimi kama mtanzania ningependa kufahamu mchiyetu ina majiji mangapi kwani paka sasa nasikia ni matano, nayo ni Dar es salaam,Mwanza,Tanga,Arusha na Mbeya. Je ni vigezo...
0 Reactions
19 Replies
52K Views
Habari za wakati huu wakuu, Nina Mdogo wangu Amemaliza certificate ya Ualimu Tabora Teachers college Grade A , ila Nilitaka ajiendeleze apate Diploma Ila kwa bahati mbaya sijapata chuo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kupata $1 mpaka $5 kwa siku Ni rahisi ukijifunza hizi skills 1. Audience building 2. Copywriting 3. Sales & Closing 4. Offer creation 5. Affiliate marketing 6. Content creation 7. WhatsApp...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Anonymous
Kuna Chuo kinaitwa Blue Pharmacy College of Health kipo Singida Mjini mbele ya Serengeti Pub kina hosteli za Wadada zipo opposite na Cheyo Lodge. Concern yangu ni hizo hosteli zipo kwenye danguro...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa ni kilio kwa vijana walio wengi, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa ni asilimia kumi 10% tu ya wahitimu huweza kupata ajira rasmi kila mwaka. Huku asilimia 90%...
1 Reactions
9 Replies
515 Views
Habari zenu wakuu, Kama post inavyoeleza hapo juu. Nimepost hapa kutafuta watu ambao nitashirikiana nao kuendesha chuo changu. Chuo kimesajiliwa kipo kwenye mazingira mazuri sana. Nimepost hapa...
0 Reactions
2 Replies
325 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…