Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni mbaya sana. Yaani semester ya kwanza vyuoni inamalizika lakini watoto wengi wale waliopata mikopo batch ya mwisho hawajapata. Watoto hawa wamekuwa wakiingia na kutoka Ofisi za Maafisa Mikopo...
1 Reactions
5 Replies
616 Views
Nchi yetu imekuwa na nia njema sana ya kuendeleza Vijana katika fani mbalimbali hasa za ufundi na ujasiriamali. Kimsingi vijana wenye uelewa wa somo la hesabu wanaweza kufanya vizuri sana katika...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Kuna wanachuo wameondoka chuoni baada ya kukaa Toka October Hadi January na wengine wanapitia magumu Hadi sasa
1 Reactions
5 Replies
372 Views
Naweza soma kozi gani kama nmesoma CBG advance.
0 Reactions
36 Replies
16K Views
Watanzania tumerogwa; yaani tunafurahia matokeo feki huku elimu yetu ikizidi kushuka kila mwaka. Aliyeturoga kafa. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya matokeo ya darasa la nne (SFNA), kidato cha...
10 Reactions
49 Replies
7K Views
Habari, Natafuta shule au kituo cha bweni kinachotoa elimu/mafunzo saidizi kwa watoto wenye mahitaji maalumu (hasa utindio wa ubongo), kituo/shule hugo iwe kati ya mkoa Morogoro au Dodoma...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naomba msaada ya kuelekezwa vyuo vinavyotoa masters in IT or any computer science kwa evening class kwa Dar es salaam natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
501 Views
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter mwanafunzi wa mwaka wa 3 chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM), nasomea historia na sayansi ya siasa, Namba yangu ya usajili 2021-04-01016. UDSM tunafundishwa kwa namna...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Mtoto wa darasa/Class/Standard 3 anasoma mambo makubwa sana. Kwenye Math... Anasoma namba mpaka 1 million?!!! Class 2 kasoma 100 to 999. Mtoto ambaye ku add namba 3 ni mtihani kwake!! Kwenye...
3 Reactions
10 Replies
601 Views
Habari za muda huu wana jf mm nmemaliza form 4 mwaka jana na kupata div II.19 Civics C Histry B Geo C Kisw. B Bio C Engl C Comm C B/keep C B/math D Naombeni ushauri wakuu japo kuwa nina interest...
1 Reactions
4 Replies
499 Views
Wakuu, Naombeni ushauri. Nina dogo amemaliza form four, je nimpeleke shule/kozi gani kwa ajili ya future yenye uhakika? Ana division 1 ya 10 NB: uwezo wa kumsomesha chochote popote upo.
1 Reactions
24 Replies
1K Views
wadau nilikuwa naomba kujua kwa anaye fahamu namna ya kurudia mitihani (private candidate ) inakuwaje? na process zote
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina ndoto ya kusoma nje ya nchi naombeni ushauri kwa wale mliowahi kunufaika na full funded scholarship. Mliwezaje na vitu gani nianze kujiandaa navyo ili niweze kupata na mimi nitimize ndoto...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wadau, Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023. Kijana huyo...
17 Reactions
139 Replies
8K Views
Job description RBP hosts the world’s largest and richest graduate student startup competition, the Rice Business Plan Competition, with 42 national and international university ventures competing...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Wanajamii naombeni kuuliza, nilisoma mchepuo wa EGM nikamaliza shule Sasa nataka nikaanze masomo ya Udaktari. Je, naweza kwenda tena kusoma advance mchepuo wa PCB ili niweze kwenda udaktari?
2 Reactions
8 Replies
695 Views
Kuna chuo chochote hapa Dar es salaam kinachopekea mwanafunzi mwenye D 3 tu kwaajili ya kuanza certificate ya couses za arts Au business?
1 Reactions
3 Replies
528 Views
Habari zenu wakuu, Naamini sisi wote humu tumepitia hatua ya kwenda shule kukuza ufahamu na maarifa yetu kwenye maisha. Kwa upande wangu, mimi binafsi nilikuwa nalipenda somo la Hesabu, na...
1 Reactions
2 Replies
291 Views
Dunia ina mengi ambayo yapo kwenye mazingira yetu ya kila siku,ila wengine wanajua wewe haujui. Wewe unajua wengine hawajui, Share unacho kijua tuongeze ujuzi. Karibu.
8 Reactions
76 Replies
5K Views
Leo tarehe 25/01/2024 Baraza la Mitihani Tanzania, litatangaza matokeo ya mtihani Kidato cha nne iliyofanyika mwaka jana. Matokeo hayo yatatangazwa majira ya Saa 5:00 asubuhi kupitia youtube...
5 Reactions
83 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…