Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

Kutoka Kushoto: Sheikh Suleiman Takadir, Mbutta Milando, JohnRupia na Julius Nyerere Hao Waliowazunguka na Silaha za Jadi ni Bantu Group Kundi la Vijana wa TANU lililokuwa linatoa Ulinzi kwa...
10 Reactions
383 Replies
55K Views
DOSSA AZIZ ALIPOSAHAULIWA KUPEWA MEDALI 1985 Tarehe 27 Aprili, 1985 Julius Kambarage Nyerere, sasa akijulikana kama Baba wa Taifa, katika sherehe kubwa katika viwanja vya Ikulu, alitoa jumla ya...
2 Reactions
7 Replies
939 Views
MAKALA YA MAMA MARIA NYERERE KUTIMIZA MIAKA 93 NA MAKOSA NDANI YA MAKALA Kuna makala imewekwa mtandaoni kuhusu Mama Maria Nyerere kutimiza miaka 93 hii leo. Makala hii imesheheni mengi katika...
30 Reactions
271 Replies
11K Views
EDWIN MTEI alizaliwa jumanne 12.7.1932 siku hiyo mama yake Akiwa mjamzito akiambatana na jirani yake waliamka asubuhi Sana na kwenda kwenye shamba la mahindi na maharage lililokua km 8 kutoka...
10 Reactions
14 Replies
9K Views
DOSSA AZIZ KATIKA WAKATI WAKE KUKIMBILIA KUUNDA TANU 1950 Tulikuwa tumekaa barazani kwa Dossa Aziz nyumbani kwake Mlandizi nyakati za asubuhi kama saa nne mimi, Ally Sykes na mama mmoja Mmarekani...
3 Reactions
0 Replies
832 Views
GARI LA DOSSA AZIZ ALIYOMPA JULIUS KAMBARAGE NYERERE WAKATI WA KUPIGANIA UHURU Ilikuwa mwaka wa 1946 Ally Sykes akiwa katika meli iliyokuwa inawarudisha askari Waafrika kutoka Vita Vya Pili Vya...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
HISTORIA YA JONAS MALHEIRO SAVIMBI AGOSTI 3,1934 - FEBRUARI 22,2002 Jonas Malheiro Savimbi ni moja ya Wanasiasa na Wapigania Uhuru katika moja ya mataifa yaliyopo kusini mwa Afrika yaani...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
CASSIUS CLAY 1964 Hii picha ilikuwa maarufu sana miaka ya 1960. Ilipigwa siku Cassius Clay alipomshinda Sony Liston na kuchukua mkanda wa uzito wa juu wa masumbwi. Kwangu mimi picha hii...
11 Reactions
35 Replies
2K Views
PETER TOSH, ALIKUWA MTU WA KUUAWA TU(a man who must be killed), KWA SABABU ALIKUWA MTU NA NUSU, HAKUWA MTU WA KAWAIDA Bunny Wailer amnyooshea kidole mjane wa Bob Marley, Rita Marley. Ulikuwa ni...
20 Reactions
26 Replies
12K Views
SIRI YA JAHAZI LILILOGEUKA KUWA JIWE-KILWA KISIWANI
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HAYA NDIYO MAKOBAZI Makobazi ni viatu vinavyovyaliwa kwa wingi na watu wa Pwani ya Afrika ya Mashariki. Hivi ni viatu wanavyovaa wanaume. Juu ataweka kofia pengine ya ya mkono. Itafata kanzu...
13 Reactions
50 Replies
4K Views
Maqam Ibrāhīm ni 'kikanyagio cha Nabii Ibrahim' ni jiwe dogo la mraba lililohusishwa na Ibrahim, Ismail (Ishmaeli) na ujenzi wao wa Al-Kaaba ambapo sasa ni Msikiti Mkuu wa Mecca katika eneo la...
21 Reactions
113 Replies
10K Views
Naomba niwapatie ukweli ninaoujua kwa kutafiti na kufuatilia kuhusu uwepo wa Wakurya wengi jeshini na madai kwamba Nyerere aliwapeleka jeshini Kwanza niseme hivi, ni kweli kwamba Wakurya ni...
22 Reactions
80 Replies
13K Views
Wakati wa vita ya Kagera, Brigedia namba 207 ambayo ndiyo hasa ilikuwa ya kwanza kuusogelea mstari wa adui, iliongozwa na Meja Jenerali John Butler Walden. Kwa usiku mitatu, Walden alipita katika...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Jina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo...
20 Reactions
110 Replies
19K Views
SALUM ABDALLAH NA CUBAN MARIMBA CHACHA BAND Kuna wakati huwa kuna mambo nayajua lakini huogopo kueleza kwa hofu kuwa wasije watu wakaniita muongo. Naogopa wataniita muongo kwa sababu...
8 Reactions
16 Replies
3K Views
AMOS KISENGE APEWA BARABARA Amos Kisenge amepewa barabara kwa kutambua mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika. Bahati mbaya hapo nilipokuta picha hii haikuelezwa Barabara ya Amos...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
1995 Benjamin William Mkapa anachukua fomu ya kugombea Urais, gazeti moja kwa kebehi likaandika "Mkapa naye achukua fomu." Hili neno "Naye" kwa sisi wana fasihi tuliona ni dongo, maana kipindi...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Naitafsiri kidogo Ile posting ya JF ya Jager Master ya Dec, 2011. Hii makala ya 2001, imeandikwa na kachero Wayne Madsen. Anasema Marekani Wana kambi Cyangugu, Rwanda karibu na mpaka wa Congo...
14 Reactions
41 Replies
6K Views
Back
Top Bottom