Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI/SIKU YA WANAWAKE TANZANIA Picha hiyo hapo chini nniliipata kwa Jim Bailey aliyekuwa akimilika gazeti la DRUM. Picha hii haikuwapo kabla ya mimi kuipata na kuiweka...
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Ni wachache sana kukuta mtu anaeleza vita vilivotokea kwenye taifa moja kwa jina Macedonia. Vita hivi vilianza 1991-2001. Mwendelezo wa vita hii ni sababu za ethnic conflict kujikuta taifa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Taarab ina historia ndefu katika muziki wa Tanzania kama ulivyokuwa muziki wa dansi. Wapenzi wa taarbu wa zamani waliiweka taarabu katika vyanzo kama Taarab ya Tanga, Taarab ya Dar es...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WANACHAMA WA CHAMA KIPYA CHA SIASA WAMEKUJA KUHAKIKIWA NA MSAJILI WA VYAMA ARNAUTOGLO HALL 1993 Asubuhi na mapema tulikuwa tumeshafika Ukumbi wa Arnautoglo tumekuja kuhakikiwa kwa ajili ya chama...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
SEHEMU YA KWANZA. Kwa wapenda filamu wengi Africa na duniani kote jina la Rambo ni jina maarufu mkombozi wa wanyonge dhidi ya tawala za kibabe za Vietcong ndani ya Vietnam na hata kule Cambodia...
7 Reactions
46 Replies
4K Views
WANACHAMA WA CHAMA KIPYA CHA SIASA WAMEKUJA KUHAKIKIWA NA MSAJILI WA VYAMA ARNAUTOGLO HALL 1993 Asubuhi na mapema tulikuwa tumeshafika Ukumbi wa Arnautoglo tumekuja kuhakikiwa kwa ajili ya chama...
0 Reactions
2 Replies
762 Views
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI/SIKU YA WANAWAKE TANZANIA NYANGE BINT CHANDE MWANAMAMA ALIYEJITOLEA NYUMBA YAKE KUWA OFISI YA TANU KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Kuna mtu alipata kusema kuwa utafika...
2 Reactions
0 Replies
555 Views
HISTORIA KATIKA PICHA MBILI 1955 NA 1993 Picha hizo mbili hapo chini zimepishana miaka 38 kwa mkato na kifupi unaweza kusema zimepishana miongo minne yaani miaka 40. Picha ya kwanza ni mkutano...
0 Reactions
0 Replies
487 Views
Salaam WanaJF, Uzi huu ni wa kupeana taarifa na makavazi kuhusu mawaziri hawa wawili wa zamani waliowahi kuwa wizara moja. Je, wana mchango gani katika kujenga sekta ya viwanda na biashara...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutoka kulia waliosimama: 1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3) 2. Nassoro kalumbanya (simba str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.) 4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia (Misheni...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Ndugu Wanajamii habari, karibuni sana kwenye mdahalo unaohusu historia ya Afrika ilipotoka, Ilipo na Inapoelekea. Mahali: Mbezi Beach, Daniel Chongolo Street, mkabala na Shule ya Msingi Daniel...
1 Reactions
2 Replies
356 Views
Historia Fupi ya Vitukuu vya Nabii Nuhu Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu ya Biblia Mwanzo 10:1-32 Biblia imeonyesha uzao wa watoto wa Nuhu ambao ni Shemu, Hamu na Jafeti uzao ni kama ifuatavyo...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha Kama vuguvugu kutoka kwa...
4 Reactions
62 Replies
4K Views
Kuna historia zinadai kuwa Wayahudi walikuwa ni watu weusi na walipoondoka israeli mpaka wanarudi sio wayahudi wale. Ilo linathibitishwa na vitabu vingi ni kweli?
0 Reactions
2 Replies
912 Views
Mpaka leo hakuna rekodi wala kutokea kwa binadamu kutoka kwenye ndege na kuanguka ardhini na kupona. Historia hii ina muangukia mwadada Vesna Vulović.mpaka kumuingiza kwenye kitabu cha maajabu ya...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
BI. TITI MOHAMED AWAFICHUA WALIOKUWA WAKIMUONGOZA KATIKA HOTUBA ZAKE ZA KUHAMASISHA WANANCHI Makala hiyo hapo chini nimeandika baada ya kusona video fupi ya mahojiano ya Bi. Titi. Haya yaliyomo...
1 Reactions
0 Replies
673 Views
Paa la Afrika. Nilikuwa nimesikia mengi juu ya Kilimanjaro, mlima mrefu kuliko wote barani Afrika. Hali kadhalika, nilisoma mengi na kutazama picha nyingi zilizoonyesha mlima huo. Lakini katika...
2 Reactions
2 Replies
699 Views
Likely dating to between 2,200 and 2,400 years ago, the toilet — consisting of a bowl and pipes leading to an outdoor pit — was unearthed in the ruins of the palace in Yueyang City Ruins, an...
0 Reactions
3 Replies
808 Views
Je? Air force one inasiri gani nzito inayo fanya ndege hio Ya kimarekani inayo mbeba raisi wake kuogopwa zaidi,Watu wengi wamekua na mawazo na maswali mengi kuhusu Maajabu ya ndege hii ambayo...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Historia ya Oscar Kambona:
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom