Jukwaa la Historia

JF Prefixes:

WADAU AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya...
1 Reactions
2 Replies
664 Views
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia. Kabla ya kuwepo kwa...
12 Reactions
19 Replies
2K Views
Kama tusingeandika historia yetu waliokuwa hawapo hiki kizazi kipya kisingeijua historia ya Sheikh Hassan Kinyozi. Tungemzika Sheikh Hassan Kinyozi kama tunavyowazika masheikh wetu...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
KUMBUKUMBU YA DAR ES SALAAM DOCKWORKER'S UNION 1948 KATIKA NYERERE SQUARE DAR ES SALAAM 2022 Hapo Nyerere Square palipojengwa jengo la kuvutia mwaka wa 1948 palikuwa na jengo la mbao na paa la...
3 Reactions
0 Replies
716 Views
GAIUS JULIUS CAESAR; MWANASIASA PEKEE ALIYEWAHI KUWA NA USHAWISHI MKUBWA ZAIDI DUNIANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA) Sunday-29/05/2022 Marangu Mtoni, Kilimanjaro Tanzania Katika historia ya...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
Kabla ya mwaka 1868, Jiji linalofahamika kwa jina la Dar es Salaam, halikuwepo kabisa. Badala yake kulikuwa na mji ulioundwa na miji mitatu maarufu, ambayo ni Kunduchi, Mbwamaji na Tindwa. Kila...
16 Reactions
54 Replies
7K Views
KWA NINI NILINYANYUA KALAMU? Naona ukumbi kama vile umejaa na kinachosubiriwa ni kuanza mazungumzo. Najiuliza mwenyewe kwa nini niliamua kuandika kitabu hicho hapo juu kueleza historia ya TANU...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
SHEIKH MOHAMED NASSOR NA KIBAO CHA MTAA WA SHEIKH MUHAMMAD YUSUF BADI Mashaallah Sheikh Muhammad Nassor kasimama chini ya kibao cha Sheikh Muhammad Yusuf Badi kilichopo mjini Lindi. Sheikh...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
THE STANDARD OF THE REASONABLE MAN’’ (KIWANGO CHA FIKRA YA MTU WA KAWAIDA): MJADALA WA UTEUZI WA MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR Lord Denning wanasheria wanamjua sana kwa hukumu zake...
0 Reactions
2 Replies
459 Views
HISTORIA FUPI YA OSCAR KAMBONA Marehemu Oscar Kambona alizaliwa mwaka 1925 katika kijiji cha Kwambe kilichopo mwambao mwa ziwa Nyasa, karibu na Mbamba-bay, wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma...
7 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu leo nishee na nyinyi kitu hiki. Historia ya Ng'wana Malunde Na Emmanuel Kasomi Maisha ya awali Ngw'anamalundi alizaliwa katika kijiji cha Mwakubunga Nera katika Wilaya ya Kwimba mkoani...
6 Reactions
32 Replies
11K Views
Mnakumbuka kuhusu hafla ya kumzika malikia Elizabeth ll yalifanyika kwa faragha siku ya mwisho ya kuuweka mwili wake eneo la mapumziko?. Sasa bwana jambo lile lilizua mjadala huko Uingereza, hoja...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Ilikuwa kwa upande wa akina mama wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika nafasi ya kuongoza umma kwa akina mama chini ya TANU ishikwe na Bi. Halima Hamisi au Bi. Titi Mohamed. Bi. Halima wakati...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
CHAMA CHA SIASA KINAPOOGOPA SANDUKU LA KURA Hili ni jinamizi. Chama cha siasa kutishika na ''ballot box.'' Vipi utakuwa bondia wakati unaogopa uso wako kuguswa na makonde? Vipi utakwenda...
0 Reactions
2 Replies
509 Views
HASSAN KINYOZI NA AHMED SEIF: WAAJIRIWA WA KWANZA WA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955 Bingwa wa historia ya Tanganyika John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU iko mikononi mwa watu binafsi...
0 Reactions
0 Replies
468 Views
Hakika siku hii kila mtu aliyekuwepo sehemu hii alitokwa na machozi. Mtoto wa marehemu alisoma kilichoandikwa kwenye karatasi na watu kutokwa na mchozi kwa unyama alifanyiwa baba yake.
3 Reactions
20 Replies
2K Views
African-Indians, Indians of African origin. There are at least 20,000 of an African-origin ethnic tribe who have been living in near total obscurity in India for centuries. Descendants of Bantu...
1 Reactions
1 Replies
571 Views
NYERERE DAY 2022: MWANZO WA HARAKATI ZA KUDAI UHURU - UCHAGUZI WA TAA 1953 (NYONGEZA YA PICHA) Katika video iliyotangulia kipindi cha Zumari watu wengi wamevutiwa na historia ya uchaguzi wa TAA wa...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu mwamba hapo pichani anaitwa bwana Vachili Archipov. Alikuwa ni mwanajeshi wa jeshi la Urusi kitengo cha kulipua mabomu kwenye manowari jeshi ya kivita huko Urusi, wakati huo ikijulikana kama...
10 Reactions
14 Replies
2K Views
Msomi, mwanamapinduzi na mwanaharakari. Pichani akiwa na Che Guevara na Malcom X. Ndege wafananao huruka pamoja.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom