Inasemekana kwamba asili ya neno daladala ni zama za Mwl Julius Nyerere wakati shilingi tano likuwa sawa na dolar moja ya kimarekani hivyo shillingi tano ikawa inaitwa dala na wapiga debe enzi...
Ili mtu utukane,au ili mtu uonekane umetukana kuna vigezo gani au kuna misamiati gani itafanya mtu aonekane ametukana!!!??
Je mtu anayekuambia 'pua yako'
Anakuwa amekutukana??? Kama jibu ni...
Wale wataalamu wa lugha naomba mnisaidie kuondoa utata katika matumizi ya maneno yafuatayo ktk kumaanisha USIWE NA HOFU/SHAKA :-
1) Worry out
2) Worry not
Ni lipi SAHIHI kati...
Habari zenu.
Leo nimeona niwashirikishe yale yaliyomo katika nafsi yangu.
Nitaandika kwa mtindo mgeuzo, yaani sio wa maji kufuata mkondo.
Mtunzi yoyote anaweza kuendeleza.
Shuka nayo--
Njia...
WANA WA MAPOKEO.
1)napohisi kuna jambo,akili inanituma.
Nitunge niache tambo,fani izidi kuvuma.
Wengi wetu tuna mambo,twalea kwa kulalama.
Sisi wana mapokeo,wana huru watuacha.
2)wengine washika...
Hello all! I'm really excited to announce that Language Transfer has released the first 5 tracks of the 100% free and awesome Complete Swahili ( languagetransfer)! There's many more tracks coming...
Wataalamu wa Kiswahili ningependa mnisaidie swali hili;
Andika barua kwa Mhariri wa gazeti la Mwananchi juu ya tatizo la ajira Tanzania, jina lako ni KASHAIJA S.L.P 10. Butiama.
Siyo mbaya hata...
Ufahamu wangu wa wastani wa lugha ya kiingereza na kiswahili umenifanya nione matumizi yasiyo sahihi ya either...or ya kiingereza na neno 'aidha' la kiswahili.
Nimegundua kwamba baadhi ya...
Lugha ya kiarabu,inatofautiana baina ya nchi na nchi,ila iwe wanaongea kiarabu cha kisomi,eweje mtu ambaye hajasoma kiarabu cha kisomi,aseme amewahi kuishi nchi Saudia,halafu aende Oman,aseme...
Pamoja na yote yanayofanyika leo katika ziara ya Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,nampongeza kwa matumizi ya lugha adhimu ya Kiswahili kilicho safi na sahihi.
Akiwa na...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafari kazi ya mtu mwenye cheo hiki ndani ya CCM ambaye ni Nape Nnauye bila kuelewa?
Kazi yake kubwa ameifanya kupitia mgongo wa CHADEMA, hata mikutano ya CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.