Naomba kusaidiwa kufafanuliwa hii sentesi ambayo mheshimiwa prezdent ameisema je alikua anawaambia akina nani???
"Fanyeni kazi, tetemeko halijaletwa na ccm".
Naomba usaidizi kule nitakapo pata maneno yote ya Kiswahili niweke kwenye kamusi ya keyboard ya rununu iwache kushinda ikibadili maneno ninapoandika kwa kisawahili.
Habari za Jumapili ndugu zangu, awali ya yote nitoe pole nyingi sana kwa ndugu zetu wa Mkoa wa Kagera na mikoa ya jirani waliopatwa na janga la tetemeko la ardhi lililogharimu maisha ya watu...
1:Mlilala handingwa handingwa mwenye macho haambiwi tule
2: Pema usijapo pema ukipema si pema tena
3:Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
4:Oteo ulisemaje, nipe nikupe
5:Ganda la muwa la...
Habari wana jamvi.
Ni jambo la kuvutia sana pale unapomsalimu mtu kwa lugha yake ya asili hasa unapoenda vijijini kwa sisi watafutaji.
Lengo la uzi huu ni kufundishana salamu za makabila...
Rushwa...wizi...!?
Japo elimu sio wingi wa vitabu ulivyosoma !!bali hata Ufahamu Ni Roho (spirit) uliyozaliwa nayo ...sasa Inapokuaja kwenye tuwe Ujinga!? wajinga?..Nataka kujua zaidi! Hivi...
Miaka ya themanini katikati (1984 - 1986) Gari lililokuwa linaonekana la kisasa na la thamani lilikuwa ni gari aina ya Pajero. Mitaani wakaamua kuiita shilingi mia tano "Jero" kwa kufupisha neno...
Jamani mimi huwaga sielewi, ni kwanini madereva wana common name, yani Suka, utaskia suka simama, huyo ndo suka, na nimeanza kuisikia kitambo sana takribani miaka kumi, sasa wanajamvini embu...
Watanzania tupo katika harakati za kuboresha na kukuza lugha yetu. Sasa hivi tunashughulika kuongeza msamiati katika kundi la maneno ya uchochezi. Mifano ya maneno ya kichochezi ni pamoja na hii...
Habari za mchana wanaJF
Kama una idea ya lugha ya kifaransa tupia msamiati na tafsiri kwa kiswahili ili tujifunze,
Naanza Mimi
Fr; Mon pay magnifiquè s' appelle Tanzaniè
Kisw;Nchi...
Habari zenu wana JF
Naomba niwakumbushe kwamba kuanzia wiki ijayo, tutaanza Darasa la KIFARANSA – Pre-form one. Tumejipanga kumfundisha kijana kwa myezi hii mitatu, aweze kuzungumza kana kwamba...
Waswahili wenzangu nimekuwa nikitatizwa sana na matumizi ya maneno yafuatayo, labda mimi kiswahili kimenipiga chemga, ama watumiaji wanatumia maneno hayo ndivyo sivyo.
1. Kwa niaba yangu mwenyewe...
wataalamu wa lugha natumai hamjambo. Naombeni ufafanuzi katika hili kwanini sehemu zinapouzwa ndizi karibu Tanzania nzima zinaitwa Mahakama ya ndizi....mfano
mahakama ya ndizi Morogoro
mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.