Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
wataalamu hebu nifafanulieni hapa binamu ndio nani kwa kiingereza? na cousin kwa kiswahili? na niece kwa kiswahili? nephew kwa kiswahili???????? asanteni.....
0 Reactions
31 Replies
79K Views
Wanabodi wajuzi wa lugha, Rais anapozungumza na Wazee wa Dar es Salaam, wale wa mazungumzo hayo huwa ni kwa ajili ya Wazee wa Dar es Salaam tuu and Watanzania kwa ujumla?!. Nimeuliza kufuatia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu pokeni na kazi ndo weak and imeanza hivyo!! Wakuu huku kitaa kuna kijimsemo kimeanzishwa hata sijui mwanzilishi nani!! Yaani kitu kidogo mtu analalamika anasema "huyu jamaa amebana sana"...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tusaidieni "Mkagha" ni namba ngapi ? au ina maana gani ?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Koma mwana nakuasa, dunia hino yatisha, Koma tena koma hasa, siyapupie maisha, Koma sicheke garasa, turufu huja na kwisha, Koma mwanangu koma, koma uishi salama. Koma kumcheka mamba, mtoni wenda...
1 Reactions
2 Replies
819 Views
Kuna mdada yupo anafanya kazi za nje ya nchi , sasa maelewano yake na mabosi yamekuwa magumu sana ndio kaniomba nimtafutie japo vitabu aweze kujifunza kingereza japo kidogo,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WANDISHI:PAUL BEN MTOBWA. YEAR:2016 CONTACT:0676-310625 Haki zote zimehifadhiwa hairusiwi kuiga,kunakili au kutumia riwaya hii fupi kwa njia yoyote bila idhini ya heko publishers. ISNBN...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakati huo john alikuwa amezidisha ile tabia ya ulevi uliopindukia.wazazi wake kwa kutaka kuepukana na aibu hiyo wakamshawishi aoe kwa matumaini kuwa pepo mbaya aliemkumba mwanao angeondoka baada...
2 Reactions
1 Replies
945 Views
  • Closed
Habari wapendwa naomba msaada wa majina common yanayotumiwa na wahehe
0 Reactions
91 Replies
27K Views
NYAMA YA BUNDI. 1)ni tamu kama halua,ila ni chungu kuila. Kumeza hutoamua,kama ukila kwa hila. Mpishi wajipikia,pishi liso na fadhila. Nyama ya bundi si tamu,vipi unatuwindia. 2)nyumbani...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hata kama kitu ni muhimu kwako, au ni mtu muhimu,iwe ni ndugu yako pengine imetokea mumetofautiana kimawazo au ugomvi, Jirani yako, au rafiki ama mtu wa kati hataki kujua chanzo cha matatizo au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
gotta, outcha, outa n.k ya huu mfumo yani american wanayatumia sana. ongezea na unayoyajua unitoe huku gizani
0 Reactions
24 Replies
4K Views
WASHAIRI MAPOKEO. 1)ni kweli tumeridhika,kwa kuishia kutunga. Huku tukifurahika,kwa tungo twaunga unga. Ama tunahuzunika,wa bara hata wa tanga. Washairi mapokeo,mbona hatusongi mbele. 2)wenzetu...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
MSOMI. Shika kalamu itulize, Andika karatasini usijiulize, Nakufunza kuandika vyema uweze, Usikawie utafeli sauti yangu itekeleze, Somo ni imla ,habari ni ndefu, Ongeza kasi jioni mwanga hafifu...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Wakuu, naombwa kujuzwa. Hili neno "marehemu"ni kiswahili? Kwa lugha ya kwenu ni nini au mnamwitaje kwa kilugha ya kwenu.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu hivi ni nchi gani inayotambulika world wide kwamba yeye ndio mmliki wa lugha hi kati ya tz na kenya maana nmeona matamasha mengi ya kenya wakijivuna kuwa kiswahl ni chao
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Mama siku imefika, ya wewe ulonizaa, Pia sasa ni miaka, tangu walipokutwaa, Mwaka uliokauka, nusura niwe kichaa, Mama sasa nayaona, mwanao nimeshakua. Ukitaabika mno, kwa nguvu zilobakia...
2 Reactions
0 Replies
959 Views
Nipo hapa nasoma katiba ya chama cha mapinduzi toleo la 2012!Nimekutana na neno ''hatamu''naomba wajuvi mniambie lina maana gani?
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Habar wakuu, Nianze kw kumshukuru aliye toa wazo la kuunda lugha ya KISWAHILI.Binafsi huwa najiskia Furaha Sana nnapo itumia lugha hii tamu,iliyo jaa hekima na ukarimu.... Watu wanao itumia pia Ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukarabati na ukarafati
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom