Nimeona familia nyingi za kitanzania, wazazi wakiwasisitizia watoto kuitika katika moja ya miitikio hapo juu. Utakuta mtoto wa kiume akisisitizwa kuitika " naamu" anapoitwa, na mtoto wa kike...
Hii ni zawadi ya pekee kwa mwanao ; mtaalam wetu wa lugha ya Kifaransa kwa watoto ameanzisha « special children’s workshops” anafundisha watoto KIFARANSA kwa kutumia michezo mbalimbali siku ya...
Nimekuwa Nikijitaabisha sana Kifikira, Kutaka Kujua, Kwanini Tanzania, Utakuta Makabila Mawili au zaidi Wana lugha karibu Moja Mfano Wasukuma na Wanyamwezi Lakini Wakati huo huo, Kabila Moja...
Siku hizi mtu hawezi kukamilisha mazungumzo yake bila kutumia neno 'kuweza'
Neno hili limekuwa maarufu sana kiasi kwamba wengi wanalitumia vibaya.
Nimeshasikia wengi wakisema hivi:
Mkopo...
TUSI HALIUI.
1)katu halinyongi tusi,tukanwa utukanike.
Kama huna ukakasi,basi acha wasikike.
Tena wape mafulusi,kwa dharau uwacheke.
Wala haliui tusi,kwa mtu mwenye hekima.
2)kwako ni kama...
Ndugu wana JF bunge la Afrika Mashariki limeridhia matumizi ya lugha ya kiswahili katika Nchi wanachama changamoto ndogo ambayo lazima ifanyiwe kazi ni nchi wanachama kuongea matamshi tofauti ya...
City Christian Centre cordially invites Hon/Prof/Dr/Mr/Mrs/Miss...........
L'honneur nous echoit, d'inviter votre haute personnalite a prendre part au lancement d'un culte francophone dans...
Kuna jambo latatiza, leo nikupe maana,
Wahenga walitujuza, kuwa kufa kufaana,
Biashara ya jeneza, jua haina laana.
Hutuombea shufaa, mtengeneza jeneza.
Kabla kifo kutokeza, kulianza kuzaana...
Jana 29/8 nimemsikia AG akisangaa vyama kufanya kitu kinachoitwa 'operation' hivo kunilazimisha kutafuta maana yake kwenye 'google' na nimekuta kama ilivo hapo chini. <operation
Also found in...
Wakuu poleni na kazi!!
Ni hivi hua sielewi maana ya haya maneno!!
Lalamiko!!
Dukuduku!!
Hoja!!
Na maoni!!
Kwa sababu kuna sehemu labda unaweza ukawa unachangia mada!!wale wasimamizi wakakupinga...
Kifaransa kimekuwa na mvuto wa pekee kwenye utumishi wa umma wa kimataifa, bahati mbaya watanzania tumebaki nyuma sana, sababu ya kutokuchangamkia lugha nyingi kama wenzetu wa nchi jirani...
Habari zenu wakuu;
Naomba radhi kwa wale wote walioshindwa kunipigia jana wakati soma la Kifaransa linafundishwa star t.v; inasababishwa na watu wachanche ambao wakipiga simu hawataki kuachia...
za kazi jamani, kuna hili neno ambalo watu wengi tunatumia kama tafsida ya maana kuingiliwa kinyume na maaumbile. TIGO.au 0713.. nafahamu tangu mwanzo kuwa kuna mtandao wa simu ambao asili yake...
Nichezee upate raha,
Kwa ujinga jazie furaha,
Ni binadamu kwako Mi kifaa,
Sote twafa hatuijui saa,
Kwangu umefanya kwako,
Mjinga mkubwa tacheka kifo chako,
Yote Yana mwisho,
Na yako...
Habari wana lugha
Fasihi haitokani na ombwe bali ni matokeo ya uzoefu wa mwandishi..Ni kwa vipi kauli hii imeridhiwa na waandishi wa tamthiliya mbili ulizozisoma..
Naomba kufahamisha Maana Ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.