Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mnisaidie tafsiri ya maneno yafuatayo kwa kiingereza. Mpunga, Mchele na wali. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
18 Replies
8K Views
KICHWA CHAKO NDO KITABU. 1)Kurasa ile ya kwanza,hufungui kwa mkono. Hasa pale upo anza,wayafunua maono. Kufungua wajifunza,nywele ndo yako maono. Kichwa ni kitabu chako,acha akili isome...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba nifahamishwe na wengine pia wanufaike je, Duniani kuna Lugha ngapi ..........kuanzia zile rasmi na zile za kienyeji.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Anaefahamu kifaa hiki water dispenser kinaitwaje kwa Kiswahili
2 Reactions
34 Replies
12K Views
Kwa wale "malinguistics" naomba mwongozo which is is the correct sentence "you can't give what you can't have or you can't give what you don't have....jamani hizi lugha za watu uwii
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kweli safari si kifo, ila yako yaniua, Inaniua fofofo, mpenzi hilo tambua, Nenda msalimu Jafo, na wote wano nijua, Kwaheri mpenzi wangu, nenda urudi salama. Huu upweke siwezi, sikiza wangu...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyo na Yule, Lipi na Gani?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UKAWA UKUTA. 1)hi ndio khasara yake,gari kukosa kioo. Lione gari ndo lake,siyo waseme ni ndio. Acha wafie kivyake,jicho ona chungulio. Kuwa ukawa ukiwa,kuta litawa mkia. 2)maneno mengi...
1 Reactions
0 Replies
933 Views
Hi, Naamini vichwa vilivyopo hapa jf, nitapata msaada wa maana na tofauti ya maneno haya ktk matumizi, au lipi ni sahihi na sio sahihi 1. WIMBO 2. NYIMBO 3. MWIMBO Nawasilisha
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika baadhi ya habari mbalimbali ambazo nasoma au katika mazungumzo kadhaa, baadhi ya waandishi au wazungumzaji huleta sentensi kadhaa ambazo ndani yake kuna neno "iko" au "hiko". Je ni maneno...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kuna watu wamekuwa wakijadili umahiri wa Lugha ya Malkia kwa MTUKUFU MHESHIMIWA RAIS DOKTA Magufuli. Lakini kiukweli tatizo halipo katika Lugha ya malkia bali Lugha kwa ujumla Ukimsikiliza...
6 Reactions
53 Replies
4K Views
Tangazo lilotolewa na widhara ya afya juu ya kuokoa uhai as mtoto na mama mjamzito alina uhalisia . Sababu za kusema hivi ni kutokana na walioliandaa kutokua makini katika matumizi sahihi ya lugha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TATIZO LA MUAFRIKA. 1)tulivyofanywa watumwa,tulikuwa hatuoni. Wajinga waliotumwa,walipita baharini. Ingawa mengi yasemwa,hatuyaweki kichwani. Tatizo la muafrika,achukia sura yake. 2)hatujali...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Hajimemashte , Watashi no namae wa John desi Yoroshiku onegai shimasi . Natafuta Mtanzania ambae yupo JF na anajua Kijapan , nahitaji mtu wa kuongea nae/kuchat nae lugha hiyo , level yangu kwenye...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
SALAMU KWA WANAOLEFT(WHATSAP). 1)salamu ziwafikie,enyi wakimbia kundi. Kulefti mkumbatie,ndo mana mwakua bundi. Muadiwe mkimbie,huo wala si ufundi. Salamu kwa waleftiji,acheni tabia hiyo. 2)hata...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini wajumbe ..... Nipo hapa kuwaelekeza tofauti kati ya mzaha na utani. Kwa kipindi kirefu haya maneno yamekuwa yakitumika kwa kufananishwa........ila yanabeba maana mbili tofauti. Nitaanza...
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Naombeni sana kunielemisha maana ya neno mashiko. Kia mara nimewasikia watu wakisema maaneno yako hayana mashiko.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari jf, Hivi naomba kuuliza, hili suala la kuenzi kiswahili ni la mtu mmoja au la kitaifa? Na kama ni la kitaifa mbona mawaziri hasa huyu wa mambo ya nje ambaye nimemsikiliza sana kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Unaweza kudanganya watu wote katika Taifa kwa muda Fulani, lakini huwezi kudanganya watu wote muda wote, ELEZEA.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni j.pili njema wakuu, Poleni na majukumu ya and natumaini mambo yanenda kama alivyoyapangilia huyu alieshikilia mbingu huko juu bila kuweka nguzo. Dhumuni la uzi huu ni kuhusu holi neno...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom