Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nashangaa!! napoambiwa lugha yetu ni kiswahili wakati huo; Kwenye maombi ya kazi karibu yote nchi nzima wanatoa kwa kingereza,taarifa au tangazo flani labda unakuta mabadiliko ktk sector...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Uandish kwa lugha yetu unaelekea kupotoshwaUandishi kwa lugha yetu unaelekea kupotoshwa, achana na ile mtu kupunguza herufi ila neno litaeleweka na halitakua na utata mfano; Dsm-=Dar es Salaam...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naomba kufahamishwa risala kwa kiingereza inaitwaje? ahsanteni
1 Reactions
4 Replies
12K Views
Habari zenu wanajamii forum,natumaini ni wazima wa afya Nilikuwa naomba kwa yeyote yule mwenye kitabu kimoja kinaitwa ELFU LELA ULELA aniwekee attachment ili niweze kuidownload maana kitabu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi, Wakuu naomba mnielimishe maana ya AIRPORT kwa kiswahili tafadhali... Naipenda lugha yangu ya kiswahili, hivyo napenda ninapozungumza lugha hii nisichanganye na lugha ya kigeni...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
Haya ni baadhi tu ya maneno ya kiswahili ambayo ukiwa tanga utayasikia tofauti kidogo 1. Nakuja - Naja 2. Unaenda- waenda 3. unanichokoza- Wanchokoza 4. unataka - Wataka 5. Mama mdogo - Odo 6...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Mapokezi ya kale ya hayo makabila tajwa hapo juu ’ yaliweza kuchukua sehemu moja ya Fasihi simulizi ambayo ilitumbuiza, nasihi, taanasi, sherehesha, kutoa taazia na kwa malengo mengineyo...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
habari za muda huu wana jamvi, wakuu naombeni mnidadavulie kidogo tofauti ilyopo kati ya Binadamu na Mwanadamu make hapa nilipo kumetokea mvutano kidogo wa watu upande mmoja ukiwa unasema...
2 Reactions
23 Replies
9K Views
Naomba msaada wa tofauti ya haya maneno mawili magonjwa na maradhi.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Leo tujifunze lugha teule ya Kiswahili. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada. 8...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
MWENDO KASI. 1)ni vu zaidi ya honda,hivyo ndivyo wavyoona. Vitambi vya zidi konda,vinakufa vya kunona. Ndo tunda walilopanda,kuleni acha kununa. Huo ndio mwendo kasi,karibia utazima. 2)sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nadhani mko poa. Habari zenu wakuu na wajuzi wa lugha,mimi japo ni mswahili na kiswahili ndio lugha ambayo hata ndotoni ndio naitumia nina matatizo makubwa sana ya kutumia lugha hii kwenye simu...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Ngazi kwa kiingereza inaitwaje ..je kupanda ngaz kwa kiingereza utasemaje
0 Reactions
43 Replies
16K Views
Watu wengi nimewasikia wakitamka neno 'embu' na kwa upande mwingine nimewasikia wakisema 'ebu' na wengine pia 'hebu' mfano; Mtu wa 1:embu niletee maji Mtu wa 2:ebu niletee maji Mtu wa 3:hebu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jaman naomba kujua nini maana ya OLE?
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wataalam wa lugha, Naombeni mnipe tofauti ya maneno hayo hapo mawili.Ninaangalia namna ya kuandaa utetezi wa Lissu na kumchomoa makuchani mwa wabaya wake.
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Wadau jina mseke ni jina la kabila gani? Much thanx in advance
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Kile kidubwana tulikuwa tukikizungusha kwa kukichapa na mjeledi tukiwa madogo enzi hizo kinaitwa PIA sasa kwa kiingereza kinaitwaje,nimetafuta hata online sikupata maana yake.
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Matumaini yangu mpo wazima, Ishu ni kwamba mimi binafsi nafikili kuna baadhi ya vitu au maneno si yalazima kuyataja ktk sentensi au kauli. kwa mfano uta sikia mtu anasema "Ngoja kwanza nikaoge...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni baba wa rafiki yangu kwa bahati mbaya hawajawahi kuonana,,kuna taarifa zinahitajika kuhusu kabila lake...taarifa zilizopo ni watu wa maeneo ya mbesa Tunduru....Ruvuma.Msaada wenu tafadhali kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom