Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari wataalamu wa lugha. Naomba mnipe maana ya "maneno kuntu"
0 Reactions
11 Replies
22K Views
Habarini wadau wa lugha, Binafsi ninapata shida sana kuelewa mantiki hasa ya neno tajwa sababu ninaona maneno mawili ndani ya neno moja yenye maana ileile..taarifa ndio habari hiyohiyo. Hem...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo. Naombeni kitabu cha Oxford University English kwa Kiswahili. msaada tafazali.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana JF? Kama kichwa cha uzi inavyojieleza ningependa kushea mawazo yangu katika jukwaa hili kwa kufikirisha mawazo yetu kwa mustakabali wa lugha yetu ya Kiswahili kama lugha...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Ngenge msambwanda kwangwau kwakwalu nganga
0 Reactions
4 Replies
7K Views
.........NAONA MSO YAONA........... Mmenitia upofu, ambao wanishangaza, Sizioni tena hofu, ambazo zilitatiza, Sioni pia machafu, moyo yalouchukiza. Penye kiza kuna kitu, nakiona kina ishi...
0 Reactions
0 Replies
485 Views
Nimekutana na neno ili limeandikwa kwenye Hiece zaidi ya tano Arusha. Lingine limeandikwa Roho zetu Mafie. Naomba wanajamvi kwenye uelewa anijuze.karibu
2 Reactions
0 Replies
1K Views
UKIFWATILIA KWA MAKINI MASOMO HAYA YA LUGHA YA KIFARANSA, NA IMANI BAADA YA MDA MDOGO UTAWEZA KUZUNGUMZA KWA UFASAHA, NAOMBA MUNIFAHAMISHE KAMA SOMO HILI LIMEELEWEKA ILI NIWEKE LA PILI, PIA...
3 Reactions
11 Replies
10K Views
Salaam jf. Naombeni nitafsiliwe maneno haya jamani kwa kiswahili manake nimekukuruka wee! mpaka basi Nimemaliza dictionary zote hadi Universal Dictionary "I discourage a cult of personality"
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Haya wakali wa lugha njoeni hapa mnipe maana halisi ya neno Binuru Nafahamu mtu akikwambia Alamsiki utaitikia binuru, sasa neno "binuru " lina maana gani??
0 Reactions
17 Replies
28K Views
naomba hili neno liwe kiengereza "chambua kama karanga"shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mara nyingi kwenye maongezi yetu mitaani huwa tunaongeza neno "Ga" ili kuonesha kuwa sentesi husika inamaanisha wakati uliopita. Kwa mfano "unakulaga" "anakujaga" "ninasemaga" na mengine mengi tu...
0 Reactions
4 Replies
984 Views
MPINDUA GENGE. 1)Roho ilipokusuta,mwenyewe ulijachia. Leo weleta utata,kiti kuking'ang'ania. Uliunguza mbatata,ile ulotupikia Ewe mpindua genge,ni nani alokutuma 2)msomi ulie soma,elimuyo...
1 Reactions
0 Replies
588 Views
Ni ipi tofauti kati ya tarjama na tafsiri ?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KOMBE LA HARUSI. 1)Mashallah tumeshaoa,ndio kauli ya kwetu. Mke mmetupatia,hiyo ni furaha yetu. Ndoa imeshatimia,lileteni kombe letu. Hilo kombe la harusi,leteni sote tulile. 2)kwanza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau wa lugha, naomba kujuzwa tafsiri sahihi ya neno 'aga'.kwani mimi nahs neno ninalotumia lina mapungufu.nimekuwa natumia neno 'to wipe'. je hakuna neno jingine mbadala.asante
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Siajwahi kuwa mdau sana wa hili jukwaa ila naanza kuona umuhimu wa kuanza kulitumia, maana kuna maneno mengi ya lugha ya kiswahili huwa yananipiga chenga kumbe ningeweza kupata msaada humu, nini...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Leo nimejiuliza sana nikatafakari ila sijapata jibu kuhusu hii kitu. Hivi 'Photo' na 'Picture' ina maana sawa au ni tofauti? Kama ni tofauti naomba kuelimishwa. Asante.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Toa maana tano(5) za neno FUTA
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom