Habari wanajf!
The great thinkers neno hili limekua likinisumbua kimantiki!
Sina tatizo nalo katika morphological rules wala syntax yake bali its semantic components of the phrase word!(meaning)...
Kwanza niwatakie heri ya pasaka na jumapili njema ya kwanza ya mwezi wa 4.
Wandugu mimi nimekuwa najiuliza bila kupata jibu nimekuwa nikiingia kwenye mitandao mbali mbali hasa instagram unakuta...
Nimekuwa nikisikia redio na televisheni zetu zikitumia neno "Taarifa ya Habari". Huwa nina wasiwasi na matumizi ya maneno haya mawili kwa pamoja. Ninaomba wataalamu wa kiswahili wanisidie kujuwa...
Avoid These 20 English Words When in Other Countries
France
Preservative. Avoid asking about preservatives in France; you'll probably be met with strange looks. It means ‘condom' in...
Habari za wakati huu wanajamii?
Natumaini mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale.
Waungwana naomba kujuzwa tofauti ya maneno "nipo" na "niko"
mfano: kama ninaendesha gari natokea...
Nahitaji mtu wa kunisaidia kuandika barua ya kuomba 'kazi' kwa kingereza safi na kitachovutia ambayo nta APPLY nje ya nchi. Aina ya kazi ni 'MATRON'. .
Makamu mweyekiti wa BAKITA ( Omari Kiputiputi), amesema neno "king`amuzi" halijasanifiwa na linatumika kwa makosa katika kifaa cha televisheni. Amesema, "king`amuzi ni kile kitu ambacho huwezi...
Kama kichwa cha habari hapo juu ambacho nimekichukua toka akaunti ya facebook ya BBC.
Pamoja na kwamba mimi si mtaalamu wa lugha hiyo lugha iliyotumika nadhani si sahihi. Sote tunafahamu kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.