Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
natafuta kitabu cha mashairi ya zaman ya pemba ambacho kina washairi wengi . sikumbuki jina lake ila kina mashairi mengi. mwenye naahm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kumekuwepo na matumizi mabaya ya maneno kama: tafsiri,kalimani,fasili na ukafsiri katika lugha ya kiswahili kwa watu wengi,hasa maneno; 'Tafsiri na Fasili'. zifuatazo ni dhana zake na matumizi...
0 Reactions
0 Replies
24K Views
jamahani mm ni mpenzi sana tena sana cha lugha chetu takatifu cha kiswahili. ila mm ni mcongo drc.jana nilikuwa pande za mwenge.nikasikiya jambo ambae sijahelewa mpaka sasa.ni ivi kuna mkaka ambae...
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Ni Bernard James na Sauda Mwilima wote watangazaji wa Star Tv. Bernard James wakati mwingine anatangaza michezo na Sauda siku zote ni kipindi cha Bongo Beats. Wote wawili wanapenda sana kutumia...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimevumilia nimeshindwa sasa nimeamua kusema very objectively ili wanaohusika ambao najua huwa wanapita huku wachukue hatua stahiki kutuondolewa kadhia hii kwani si kilema. Nimekuwa nakereka kweli...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Today is the actual result of the effectiveness of your plan. If you fully utilized each and every hour available yesterday, then you have done all you can to maximize your possibilities for...
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Habari wanajamvi.. Leo mbele yenu napenda kujuzwa kiswahili halisi cha neno "HIGH SCHOOL" Sijajua kama swali hili lilishaletwa ila natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kasema habari zenyu bhaaana!!?..halafu kamalizia kwa kusema asante, asanteni sana. pamoja na kujiforce kuongea kiswahili lakini mwenyeji wake mwanzo mwisho wa hotuba yake hajaongea neno la...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwenu wana JF, Nimekutana na utenzi huu ambao unaonekana kama ni maongezi.Nimetamani kujua kwamba hii LUGHA gani ni nini Theme ya hii debate au hii sehemu ya Igizo.Kwa anayejua naomba anisaidie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
lipi neno sahihi kati ya dadafua na dadavu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tulipambana wote Tuliumia wote Tukajikomboa wote Wewe mwenzangu ni mzungu? Tulililia usawa pamoja Tulitaka elimu ya umoja Tulilitaka taifa letu liwe moja wewe mwenzangu umekuwa mzungu? Umoja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
In a thread kule MMU, kuna dada amesema she has slept with more than 120 men so far. Huyu member kaja na post hii: you very sorry!! u was try to check HIV? I want to met you can you proceed it...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
maana ya msemo huu ni nini????
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hivi hivi hili neno asili yake ni nini??
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hellow guys naomba maoni yenu kuhusu maneno "kitafunio " na kitafunwa" yanapotumika kumaanisha chochote kwa ajili ya breakfast asbh
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Neno "MPUMBAVU" limekuwa likileta tafrani kubwa sana katika siku za hivi karibuni. Nimeona niweke hapa maana sanifu la neno hili. MPUMBAVU - Mtu anayeshindwa kuelewa jambo hata akielezwa, juha...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
neno mpumbavu ni kaka yake na neno mjinga. Kuna watu humu wanasema kuwa Sugu amemtukana waziri mkuu pinda mimi nasema hapana hajamtukana, mtu ambaye hanafanya mambo ambayo hayaendani na utuuzima...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Can you notice the difference if for example you are signing a contract which may contain one of the following two statements? 1. You will have to pay a one-off subscription fee 2. You will have...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimehitimu kidato cha nne mwaka juzi lakini sijui kingereza cha kuongea wala kuandika ujumbe. Wana Jf nifanyeje ili niwe mkali katika lugha hii
0 Reactions
42 Replies
27K Views
Jaman wana JF naomba kujua tofauti kati ya neno "onesha" na "onyenya"
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Back
Top Bottom