Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
kila mpiga kasia hatulii mtumbwini na kila anayelima lazima anyanyue jembe! -
0 Reactions
28 Replies
11K Views
nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ukiondoa nyimbo chache na wanamuziki wachache wa Bongo Flava kiujumla naomba nikiri kuwa nachukia bongo flava; siwezi kusikiliza zaidi sekunda chache za mwanzo, nachukia wanavyoimba utadhani...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Mara chache chache, nimekua nikiwafuatilia akina Kibonde na Gadna, Clouds FM, ktk kipindi chao kinachoanza karibu kila siku jioni. Siku moja waligusia utofauti wa matumizi na utofauti wa maana ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani naombeni msaada. Nnamapungufu ya kuongea lugha hii ya kigeni (english/kingereza) lakini napenda niijue vizuri na niweza kuongea kama naongea kiswahili. Nifanyeje niweze kuimudu?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
WAKATI wazungumzaji wa Kiswahili wakiendelea kukibananga, watunga sera na watoa maamuzi wameisahau lugha hiyo. Hivi ndivyo mtafiti na mtaalamu wa Kiswahili, Sheikh Khamis Mataka anavyoyatazama...
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Wakati tukijaribu kukikuza kiswahili chetu kwa kuongea na kuandika, na wakati kimataifa lugha rasmi ya Tanzania ni Kiingereza na Kiswahili, je, ipo haja ya kutumia lugha moja kati ya Kiingereza au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waheshimiwa, nina maswali mawili kuhusu ziwa Tanganyika na jina lake. a) Yuko anayejua maana asilia ya neno "Tanganyika"? Nilisikia ni TANGA (=la jahazi) + NYIKA (=pori). Nina wasiwasi sana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJF, naomba kuelemishwa tofauti ya maneno haya mawili. Hekima Elimu Mbarikiwe
0 Reactions
0 Replies
1K Views
prof. mmoja wa uingereza alikuwa akimfundisha mwanae somo la geography sasa ilipofika wakati anamwelekeza pande kuu nne za dunia mwanae alikuwa kilaza anashindwa kukumbuka, kwa hiyo akaanza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya misemo inanitatiza, lakini naamini hapa kuna wajuzi wa lugha, ya Kiswahili ambao watanipatia msaada. Ninachotaka kujua, Je nini asili au chanzo cha misemo hii kutumika? Misemo...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Jamani, kuna suala linanisumbua kidogo. Chakula umenunua mwenyewe, umekileta nyumbani, mpishi ni wako mwenyewe, umepikiwa, chakula kimeiva, kipo mezani. Kuna ulazima kila unapotaka kula, uombe...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ngugu wana JF nawatakieni weekendi njema, lakini ningeomba nisahihishwe katika haya; a) Msichana hupewa mimba b) Msichana hubebeshwa mimba c) Msichana hutiwa mimba
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi karibuni nilikwenda kutafuta vitabu katika taasisi ya kiswahili pale chuo kikuu mlimani {TUKI} na katika jengo la Quality Plaza lililoko Nyerere Road, pale kuna duka moja, nadhani linaitwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nawasalimu wana JF. Mwanajamii nimetatizwa na hili lifuatalo: Naomba wana JF wanisaidie jinsi ya kumuuliza kwa kiingereza Baba yangu Mzazi kuwa mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwake au kwenye...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Papai jama papai, lanipendeza machoni, Kwa yake rangi papai, halinitoki usoni, Hata nikifunga tai, nalisogeza mdomoni. Nikilikata papai, kumbe lishaaoza ndani Ukiliona ni zuri, machoni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nawauliza manguli, wazoefu wa kulumba Nimekiona kivuli, pichaye imenifumba Inanikata kauli, mashairi kuyaimba Tupate elimu gani, Tanzania iwe bomba? Naanza na mlimani, vitivo vyenye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kumekuwa kukiandikwa na kutangazwa mara kwa mara kwenye vyombo vya habari kwa kutumia msemo huu" Inahofiwa watu kadhaa wameumia katika ajali hiyo". Neno KUHOFIA linaleta maana iliyokusudiwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
PEPO maana yake ni nini, hasa tunaposema "Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi". Wataalamu wa lugha tafadhali!!!
0 Reactions
2 Replies
19K Views
KTY: Kwa wale mnaoitakia mema lugha yetu ya Kiswahili zingatia tangazo hili/ FYI: For those who wish our Kiswahili language success note the announcement below and act accordingly: We are...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom