Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
hili neno la kingereza lina utata katika matumizi. maana yake hasa ni nini? kwenye barua utakuta Drea sir/madam. tunaambiwa dear ni mpenzi, so tuseme mpenzi kwenye barua rasmi? maana yake hasa ni...
0 Reactions
42 Replies
25K Views
Mapenzi yenye kuwadi, kwa vipi yawe ya moyo? 1. Ndugu nipeni kilinge, ninalo la kuwaliza, Lazima sasa niringe, kwalo ninalouliza, wambea nao wachonge, beti zote kumaliza Mapenzi yenye kuwadi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana JF Hbari za hapa nyumbani natumaini wote wazima wa afya. Wandugu, nina swali langu kwamba ni chuo gani kinachojulikana kitaifa / kimataifa au nikionyesha cheti cha ukalimani...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Jana jioni nilisikia Radio Clouds, wakiuliza tofauti baina ya maneno: tundu, tobo na shimo. Kwa bahati mbaya sikufanikiwa kusikia majibu ya wasikilizaji yalikuwaje. Nimeona si vibaya nikauleta...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Sometimes, I could not understand when someone writes these words. I just ended up ignoring without finding its real meaning. Or sometimes, I thought that he/she has misspelled (amechapia maneno)...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hodi hodi hatutaki, Sisi tuko faraghani, Tunakula mishikaki, Mwaja sasa ni kwanini, Wageni muwe pembeni. Moyoni hatuna chuki, Hilo liwe akilini, Na hapa hatuondoki, Hata pakiwa gizani, Wageni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikikwazwa sana na baadhi ya watu wanaonitumia ujumbe mfupi wa maneno kwa kwa vifupisho na pengine kwenye simu ya mkonon (SMS) na imekuwa hivyo pengine hata kwenye barua pepe (email) pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I was rejected by all people, but Jesus loved me, I was full of all evil, before the Spirit filled me, I was, are you!?? I was lost in a valley, and his hands brought me up, I was lying in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niliianza safari, japo likuwa mdogo, niliionja futari, au asali ya gogo, sikuiona hatari, wala sikuona dogo, niliianza safari, safari yangu pendoni. Ilikuwa na utamu, ukweli siwezi ficha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Muumba Mwenye viapo kila aina, Anatuhakikishia kuwa ipo Siku itasimama, Wakati ukiwadia wa kuisagasaga milima, Mwezi na nyota zitakapokunjana, Ole wao siku hiyo hao wanaokana. Aliyetolewa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wapendwa, mi sikukuu hii ya krismass na mwaka mpya nasherehekea pamoja na rafiki yang mmoja mchina. pamoja na mambo mengine huwa ananifundisha kidogokidogo kuongea kichina, sasa juzi tukiwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Angali yuko mtini, Vipi huyo awe wako? Waninunia mtani. Nakuuliza kwanini, Huyo ndege awe wako, Alama yako nini? Vipi nisimtamani, Asiye mkononi mwako? Wakati yuko mtini. Ulimtia machoni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
1 Ujana kitu kitamu, tena ni azizi sana Maungoni mwangu humu, nilikuwa nao jana Kwa wingi katika damu, tahamaki leo sina...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nasikitika sintoweza kuweka sehemu yote ya shairi hili kwa sababu za zilizo ndani ya uwezo wangu ukizingatia hali ya mijadala ya kisiasa na upepo dhoruba ndani ya CHADEMA. Enjoy!! Ikiwa chungu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mpenzi wangu wa moyo, uzurio nauenzi, nachunguza wangu moyo, nipate japo utenzi, niseme bila uchoyo, jinsi gani nafa ganzi, kutoka ndani ya moyo, nakupenda ua ridi. Si kwa umbo wala sura...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimeivuta manati, kumlenga ndege huyu, Nikasikia sauti, siyo yake mbayuwayu, Kutoka tawi la mti, si mbuyu ni mkuyu Ndege anataka jina, bila jina hatunguki Nimwite nani? Kwanza nipe hilo...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Kiswahili kweli si chetu. Chetu ni lugha mama. Nimeona kwenye cnn mwarabu akimwonyesha ripota. And this is "miswaki". Ya vijiti lakini. hata hili neno kumbe tumedesa!
0 Reactions
19 Replies
3K Views
jamani naomba mnisaidie kiswahili fasaha juu ya wingi wa neno albino. Mara nyingi watu wamekuwa wakiwaita walemavu wa ngozi maalbino jambo ambalo kwa mtazamo wangu naona kama sio sahihi. Mfano mtu...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wajameen!! naombo niambiwe maana ya msemo huu 'Sagasaga kachili'
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Thanksgiving is around the block Looking for a turkey to moist out my coke (sic) A turkey which has the thickest juiciest crutch (sic) Ain't you the one…my naked turkey beau? I wanna a...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom