Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Napatwa utata pale mtu anapoulizwa jina lake au kuagizwa aandike jina lake, kisha anajibu au kuandika, mimi ni fulani fulani fulani ( John Alfa Mohamedi). Ni sahihi mtu kujibu au kuandika majina...
0 Reactions
23 Replies
11K Views
Nawaza kuwa ingekuwa vema kukawa na lugha moja ambayo itakuwa ndiyo Lugha rasmi ya ulimwengu wote. Kuwepo kwa Lugha moja rasmi ya ulimwengu, kungeleta faida zifuatazo:- Kurahisisha mawasiliano...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Huenda si hoja mpya, lakini najiuliza endapo tunajua kwamba Kenya inanufaika zaidi na Kiswahili licha ya kuwa na wazungumzaji wachache kuliko Tanzania? Nasema hayo kwasababu kibiashara au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Zabibu langu li tamu, Pekee lanipa hamu, Ni tamu tunda adhimu, La kale kama ya Shamu! Linaendelea...
0 Reactions
51 Replies
11K Views
Tanzania ni taifa kubwa katika A.Mashariki. Cha kushangaza ni kwamba hatuna ONE OFFICIAL language. Tunatumia Kiswahili mitaani, kwenye mikutano,nk. lakini tunafundishwa Kiingereza mashuleni na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Neno Nafikiri humaanisha kufanya uchambuzi kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa jambo fulani kwa kutumia ubongo. waingereza hutumia "I think" Neno Nahisi humaanisha utambuzi wa jambo au hali fulani...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Namfundisha mwanangu kiswahili sasa kaniuliza hii spana inayofungua bolts nyingi tofauti inaitwaje? Jibu najua ni Spanna Malaya..lakini hili jina halijakaa sawa kwa mtoto mdogo, maana anaweza...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
  • Closed
Wadau walikosa jina la huyo samaki?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza, salaam za dhati ni kwenu ninyi ndugu, nimetafiti kidogo juu ya neno ASILI na CHANZO lakini bado nakanganyika kimatumizi hadi inafika wakati naamua kuyatumia popote tu hali ambayo imenipa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Helena, mwanamke mwenye ujauzito wa miezi mine, amekaa sebuleni, ndani ya nyumba nzuri ya kifahari, waliyonnunua na mumewe Samson, anawaza na kutafakari maisha ya ndoa yake yenye miezi mitatu tu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wasanii wetu hasa wa bongo fleva huwa wakati mwingine wana nyimbo nzuri sana sema tatizo ni matamshi ya maneno katika nyimbo hizo. hili nadhani linachangiwa na lahaja na kiwango cha elimu pia...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wanajamii, Niliwahi kusikia kuwa Lugha hukua, hudumaa na Lugha yaweza kufa. Mimi najiuliza endapo Lugha ya Kiswahili inakua, au iko katika hali gani? Je nawezaje kujua kama kiswahili kinakua au...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
WAKUU! Udhaifu mkubwa umejionyesha kwa watanzania 'WAZAWA' katika utumiaji wa lugha yetu ya kiswahili. kumekuwa na kamtindo ka kuitafsiri lugha ya kingereza MOJA KWA MOJA KWENYE KISWAHILI,bila...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Vyombo vya habari ni njia moja nzuri sana ya kuboresha lugha na njia mojawapo hatari sana ya kuharibu lugha tena kwa kasi sana..., Leo katika pitia pitia magazeti ya nyumbani katika mojawapo ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nini maana ya maneno haya , BIKINI WAX? Asanteni kwa mchango mtakao utowa kwani Hakuna kuelimika kudogo.
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Weekend hii nilikuwa nimepumzika nyumbani na nikatembelewa na rafiki yangu mmoja toka Uganda. Huku tukiwa tunapiga porojo za hapa na pale tukiwa tunasikiliza bongo radio mara wakapiga nyimbo ya...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
I don´t need you I don´t need friendship And I don´t need flowers in the Spring and don´t need you And you surely don´t need me. I don´t need love and affection And I don´t need peace and...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
aah! nd, zangu mbona hivyoo! mnafika huku hata kunishtua! au mliogopa ntashtuka na kuanguka kwa shinikizo? si tatizo ningeamka tu hata isingekuwa tatizo! lakini unajua nini mwenzio! aah! aloo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake. Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna watu wengi ambao bado hutumia baadhi ya maneno ya kiswahili kimakosa. Leo nimeona kidogo nielekeze japo kwa ufupi usahihi wa matumizi ya baadhi ya maneno 1. Tafadhali sema, Huu ufunguo na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom