Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Tafadhali naomba kujua misemo/nahau zifuatazo kwa kiingereza zinasemwaje 1. Usichezee shilingi katika tundu la choo 2. Huruma isizidi uwezo.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, hasa wale wa mambo ya urembo hv vitu viwili nimekuwa nikivisikia sana na mpaka leo sijajua utofauti mkubwa ni upi maana Kuna mama mmoja aliwahi kunionesha Pete zake 2 akanambia moja ni...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Unakuta mtu badala aandike neno kwa usahihi analiandika katika matumizi ya herufi ambayo siyo na huku ni kuzuoesha wengine matamshi ambayo mwisho wa siku yatazidi kuharibu lugha ya kiswahili...
3 Reactions
49 Replies
15K Views
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina...
24 Reactions
174 Replies
11K Views
Wakuu habari zenu. Nimepita kwenye status moja ya mdada nikakutana na hiyo clip ya Royal Tour kukiwa na maongezi kati ya Rais Samia na huyo mzungu. Kuna kipande Rais Samia anamwambia huyo mzungu...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Kiswahili chetu huwenda kuna maneno yumkini hayako sawa katika kuleta uwiano wa maneno na au kiko sawa Ila kuna maneno yakitamkwa huonekana ni kama yako sawa na ukija kwenye kuutafuta ukweli, mtu...
1 Reactions
5 Replies
890 Views
Hamjambo je tunao hapa wataalamu wa uchumi? Pato la Taifa ni GNP au GDP? Nominal - itakuwa kinaganaga? Ufafanuzi kwa Kiingereza: GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI) ...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kutohoa ni kitendo cha kuchukua baadhi ya maneno kutoka lugha za kigeni{lugha jirani}na kuongeza maneno hayo katika lugha kusika. Matumizi ya meneno hayo yanaweza yakafanana kati ya kimaandishi...
1 Reactions
64 Replies
22K Views
Wanabodi, Kuna mapengo hayazibiki mfano la mwimbaji na mtunzi nguli Captain John komba ndani ya ccm kwa nyimbo zake na tunzi ndivyo kwenye lugha ya kiingereza hasa kwa watanzania Ben Mkapa...
23 Reactions
50 Replies
7K Views
Dam ni ule ukuta unaojengwa kuzuia maji. Nyuma yake unatengeneza lake/pond, Ziwa/bwawa. Ukuta huo unaitwaje kwa kiswahili?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WASEMAVYO WANAFASIHI: "...Kusema haya na haya, duniani kuna vilima na mabonde; kuna kupanda na kushuka; kuna mashaka na raha. Yote hayo hayaendelei, likawa moja tu hilohilo kila siku. Unapanda...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye...
18 Reactions
167 Replies
17K Views
Hili tatizo lipo kwa Watanzania wengi sana hata graduates kwenye kuandika maneno ya kiswahili lakini si Kiingereza. Mfano graduate hawezi kosea akaandika gladuate, lakini mtu huyo huyo ramli...
6 Reactions
68 Replies
6K Views
Eti wazazi wa mkwe wako (Mke au Mme wa Mwanao) kwa Kiswahili unawaitaje?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu! Naomba kujuzwa hivi hakimu mkazi manake nini hasa ni yule anaekaa karibu na mahakama au anaishi karibu na mahakama nielewesheni wataalamu wa lugha,nawasilisha! ===== Mahakama...
2 Reactions
100 Replies
30K Views
Nimekuwa nasikia maneno haya lakini yananichanganya kujua matumizi yake sahihi. Vukiza au fukiza? Vundika au vumbika? Kompyuta? Mtandao ila ingawa msanii puchu mkwara mwake chuna mbongo Ninayo...
1 Reactions
362 Replies
285K Views
Habari! 👋 Naomba kufahamu tafsiri ya Original kwa KiSwahili. Asante.
0 Reactions
1 Replies
739 Views
Naombeni mnisaidie haya maneno yanaitwaje kwa kiyao 1. Kichaa 2. Titi la mwanamke 3. Kujamba Kuna deal la pesa linakuja kwa atakaye tafsri vizuri maneno haya
0 Reactions
1 Replies
637 Views
LUGHA YA KISWAHILI Kiswahili ni lugha ya Kibantu yenye misamiati mingi ya Kiarabu (30%), lakini sasa ya Kiingereza pia (10%), inayozungumzwa katika eneo kubwa la Afrika ya Mashariki. Lugha hii...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Hakuna neno la kiswahili linaloweza kuwa na maana bila ya kuwa na irabu (a, e, i, o, u). Katika Lugha ya Kiswahili irabu ni moja ya vitu ambayo vinahitajika katika neno/maneno ya Kiswahili ili...
7 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom