Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naombeni kujua tofauti ya kuwa mtu wa huruma ama upendo..kwenye uhalisi wa maisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi ni mkoa gani Tanzania unaongea lafudhi nzuri ya lugha ya Kiswahili?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso. Tausi wewe...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Lipi ni neno sahihi kwa matumizi. Maneno kama Yuko na Yupo, Wapo na Wako, Sipo na Siko, Tupo na Tuko, Uko na Upo. Baba yuko nyumbani au Baba yupo nyumbani. Kesho sipo nitakwenda Moshi au Kesho...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu jamii intelligence and great thinkers, nimekuwa nikipenda sana kufanya judgment hususani kwenye lugha hii iliyokuja kwa meli. Mara nyingi maneno ya kiingereza ukitaka kutoa sifa...
1 Reactions
5 Replies
878 Views
Wakuu tusaidiane ili kujua lugha zetu coz sote ni watanzania, naomba kujua lugha ya kihaya, kwa kuanzia naomba kujua maana ya maneno yaafuatayo kwa kihaya: Habari za asubuhi Habari za leo habari...
0 Reactions
20 Replies
27K Views
Habari zenu. Siku za hivi karibuni kumezuka kuwepo kwa neno"UNYAMA". Mfano mtu anamuliza Extrovert "Wee jamaa mbona hela yangu haunilipi tangu nikukope?" Extrovert anajibu "huku ni unyama unyama...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Please reply with the reason why you are learning ( or want to learn) English language. Jibu kwa kutoa sababu ya wewe kujifunza Kiingereza.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Za jioni humu JF Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha miaka michache ijayo watapoteza lugha zao asili. Hapa nagusia haswa Wachaga na Wameru na waarusha Hizi jamii hazipendi kufundisha watoto wao haswa...
8 Reactions
50 Replies
8K Views
Mchengerwa peke yake ndio amethibitisha kwa waislam wote walioapishwa leo, naye ni kwasababu alikuwa hakimu, anaelewa. Kisheria, waislam tumezoea huwa hawaapi, wanathibitisha. Wakristo ndio...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini za asubuhi wana lugha JF. Hili neno "literal" na kielelezi chake "literally" maana zao halisi ni zipi na huwa zinatumika kumaanisha nini kwenye sentensi maana nimekuwa nafuatilia Google...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Mimi 1. Site mirror - Side Mirror 2. Singboard - Ceilling board 3..........[emoji116][emoji116][emoji116]
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Nantwambe-umeamkaje /kwa wanaume Nantwama-umeamkaje/wanawake Nesindiswa mbe-umeshindaje /baba Nesindiswa ma-umeshindaje/ kwa mwanamke mwana-mtoto Msoro/Msero- Son Sambura-Daughter Mfu- mabinti...
6 Reactions
63 Replies
68K Views
Natafuta chuo kinachofundisha lugha ya Portuguese au Kireno kwa hapa Dar. Asanteni sana
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Natafuta video fupi ya Mheshimiwa Mkuu wa mkoa wa Dar ambayo alitimia neno hilo ambalo mpaka Sasa sijajua alimaanisha nini ili niitumie kuwauliza wajuzi wa lugha Mheshimiwa alimaanisha nini?
1 Reactions
18 Replies
2K Views
This is intended to be a forum for discussion about Greece. Respecting although all other nations and beliefs. However, transmitting to people the values of Hellas and its beliefs.
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Kinachoendelea nchini, kisiasa, ni wazi kwamba pesa imezaa kiburi na madaraka yamejenga maadui. YAJAYO ni KITENDAWILI lakini ...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba tu ufafanuzi kwamba 1). Rais akimuapisha Makamu wa Rais Au 2.). Rais akishuhudia kuapishwa kwa Makamu wa Rais!?
1 Reactions
4 Replies
742 Views
Maana na matumizi ya maneno haya katika sound setting Mono Stereo Nakutana nayo sana hata kwenye phone sound settings
4 Reactions
5 Replies
4K Views
Hongera Mh Rais Samia Suluhu kwa kutuongezea msamiati kwenye lugha yetu. Katika kongamano na viongozi wa dini Rais Samia ametumia neno la kiswahili ambalo ni adimu kulisikia mitaani ingawa ni...
5 Reactions
60 Replies
14K Views
Back
Top Bottom