Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Heshima yenu wanajamvi... Naomba niulize.... Hivi kuwa na porn videos kwene simu ni kosa kisheria?!! Naombeni msaada. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kuuliza wanasheria wenzangu, kuna sehemu yeyote katika sheria za Tanzania ambayo inaruhusu either by expression or by implication kufungua kesi ya kupinga matokeo ya Urais? Kama ipo naomba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza. K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno...
6 Reactions
144 Replies
12K Views
Nilifwatwa Na rafiki yangu niksaidie kumchukulia mkopo bank ya access sh ml 40 kwa sabbu mm ninamzunguko Nmb Na wale wana taka waone MTU mwenye mzunguko WA kibenk ndio wakupe mkopo Wakatoa...
0 Reactions
4 Replies
805 Views
Wakuu habari, kuna kampuni iliyokuwa imeniajiri, sasa imekuwa kichwa ngumu kulipa pesa zangu za pensheni. Nimefatilia NSSF wananirusha kwa mwajiri, nikienda kwa mwajiri anakwepa. kwakua salary...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mi nafkiri mh. Diwani,na mwenyekiti WA timu yetu pendwa baba WA familia yako na RAIA mwenzangu wa Tanzania kwa hili umekosea,Mengi ni mpinzani wako lakini nakuona ukinywa maji ya Kilimanjaro...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
HESHIMA NA IWE KWENU WAKUU. Miezi mitatu imepita sasa tangu watu wasiojulikana kuvamia kibanda changu cha biashara mara 2 ndani ya mwezi mmoja na kufanikiwa kuiba mali zenye thamani kubwa hali...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Mwenye kitabu hiki naomba ani PM tushauriane.
0 Reactions
3 Replies
649 Views
Wanabodi, Nimeguswa na kitendo cha Mchungaji Christopher Mtikila kugoma kukamatwa na polisi bila arrest warrant, ni kitendo cha kustahili pongezi, kufuatia polisi wetu kutekeleza majukumu yao ya...
7 Reactions
29 Replies
6K Views
Origin of sedition The crime of sedition is purely an English creation . Prior to the 17th Century, the offence of seditious libel emerged as an offence in the Court of Star Chamber. In De...
1 Reactions
1 Replies
613 Views
Habari ndugu zangu. Hivi karibuni Mungu akipenda naweza nunua Nyumba hapo mkoani Arusha. MSAADA nao uhitaji ni mambo gani nizingatie napofanya ununuzi huu? Kiukweli sijui chochote juu ya masuala...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za jioni wadau ukiibiwa ukiwa ndani ya bank na ikithibitika kuwa kwli uliibiwa ukiwa ndani ya bank je liability itakua kwa bank au itakua ya kwako mteja?ukiibiwa na kibaka ukiwa ndani ya...
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Naombeni Msaada Wa Kisheria Ndugu Wanasheria Juu Ya Matatizo Yaliyojitokeza. Ni Hivi Kuna Ndugu Yangu Mmoja Alipata Kufunga Ndoa Mwaka 2015 , Na Baada Ya Kufunga Ndoa Wakaendelea Kuishi Na Mkewe...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kindly delete
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Nini tofauti ya dismiss case na struck off. Remideals zake Ni zipi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello wadau wote ninatumaini mpo wazima na w'end inaenda poa. Mara nyingi tumekuwa tukisikia nchi yetu ikishitakiwa kwenye mahakama as usuluhishi za nje kwa mambo kadha ya kadha. Je, kuna ambao...
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Nimeajiriwa kwenye compuny mwaka 2014 na kila mkataba wangu ulipokuwa unaisha nimekuwa nikipewa barua ya kuuendeleza huo mkataba mwaka huu nimepata promotion ya kupandisha cheo kidogo. Baada ya...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Habari wakuu,!!kuna mdgo ake rafiki ang mmoj alikua kdato cha tatu msichana ni mcha mungu na alipenda sana shule.Kuna jamaa MTU mzima tu alkua anamtaka kimapenz kakamkatalia kabisa basi jamaa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari Magwiji wa Sheria, naomba kupatiwa muongozo wa kisheria ili niweze kumburuza aliyekuwa Mwajiri wangu MAHAKANI. Huyu bwana alisimamisha mishahara yangu kwa muda mrefu kwa madai kwamba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom