Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
As part of training in mastering provisions of a specific service which require specific skills and capabilities many training institutions subject their students under special field trainings to...
Habarini wadai,
Niwazi mtu anayefukuzwa kazi ni vigumu kupata ajira nyingine kwa kigezo cha umri lakini mtu anayeachakazi mwenyewe mara nyingu huwa amepata sehemu nyingine,sasa kwanini...
habari wana jf bila shaka muwazima wa afya,
naomba kufahamishwa sheria inasemaje iwapo mzazi aliomba uraia wkt alishazaa hlf akapatiwa uraia kuna haja ya kumuombea na mtoto uraia au mtoto tayari...
HABARI ZA JUMAMOSI
Nilikuwa naomba msaada wa term hizi mbili za kisheria SUBSTANTIVE LAW na PROCEDURAL LAW lakini naomba maelezo yake kwa kiswahili na mifano ikibidi
asante
Watanzania tumekuwa tunakabiliwa na matatizo mengi kimaisha, kimwili na kisheria lakini ya kisheria tunashindwa kujua kama ni sehemu ya kazi zenu hebu mtujuze kazi zenu.
*Kutana na Dola Indidis,* mwanasheria aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a...
Ieleweke nalaani vikali kitendo cha yule mwalimu kutumia nguvu ya ziada kumwadhibu mwanafunzi.
Ila naomba kujua je kwa sheria za Tanzania, ushahidi wa video unakubalika?!
Niki-refer hukumu ya...
Naomba msaada wenu katika jukwaa hili. Hali ya uchumi imekuwa ngumu mno, dhamana za magari,nyumba n.k zinapigw minada sehemu nyingi. Sasa basi, kuna dogo ametumia hati ya mauziano ya kiwanja...
Habar wana JF,
Naomben kupata msaada wa Tz-Copyright act 1999 yenye peji chache, Nimejaribu kudownload lakin ninayoipata ina peji 109 yani imetoka vbaya maandishi yameachana sana kupelekea kuwa na...
Ukomo wa kufungua shauri la ardhi katika mahakama
Thursday, 09 December 2010 21:59
KATIKA kuhakikisha inatekeleza haki za walalamikaji kwa wakati na...
HAKI YA KIFO
Wanajamvi salamu!
Huwenda mmekuwa mkisikia haki mbalimbali za binadamu mpaka haki ya ushoga lakini hamjawahi kusikia haki ya kufa. Naamu "right to die" ni haki ya binadamu ambayo...
Naomba kulileta kwenu,ni hivi Mzee wangu (Marehemu) alikuwa na Shamba ekari 50,kati ya hizo ekari 20 zimevamiwa,tulifungua kesi kijijini lakini kijiji hakitukupa ushirikiano hivyo tukaenda Baraza...
Salam kwenu.
Kama kichwa cha somo kinavyoeleza, ningependa kupata maoni, ushauri n.k pale inapotokea mtumishi wa umma (Serikali - Tanzania) anapopata kazi katika mashirika ya kimataifa kama UN...
Habarini wasomi,
Ninajamaa yangu anataabika sana baada ya kuamua kuuza nyumba yake akasome kuna mbunge mmoja wa chama tawala alimwambia atainunua wakakubaliana bei 30mln,mbunge akaomba namba ya...
Habari! napenda kujua wanasheria kuhusu mkataba wa kazi, hivi kunasheria inasema kama mwajiri wako ajakupa mkataba mpya na bado unafanya kazi na anakutambua na anakulipa mshahara kila mwisho wa...
ndugu wanajamvi naomba utaratibu wa kufuatilia mirathi kuanzia mwanzo kabisa
na jee kina kikomo cha kufungua mirathi mfano baada ya miaka kadhaa kama 10 .sasa je kuna mda maalum wa kufungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.