Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Nilikutana na rafiki yangu mkoani mwezi wa 7 akaniambia anauza gari yake ambayo naifahamu sana coz alisema amepata tatizo, nikamwambia aniuzie mimi,
Coz nilikuwa naifahamu nikamwambia mimi bado...
kipindi cha zile karatasi tulizo zoea kuziita notification kulikuwa na sehemu mbili tofauti za kutia saini ama kukubali kosa ambapo unalipa papo halpo ama kukataa kosa ili shauri liende mahakamani...
Wakuu naomba kujuza. kume kuwa na kawaida kwa waajiri kupuuzia summos wanazopewa kuhudhulia usuruhishi CMA hivi sheria inasemaje kwenye hili naomba kujuzwa.
Mdogo wangu aliachwa na mkewe mwaka mmoja uliopita.Katika hali isiyokuwa ya kawaida akamuandikia barua kuwa hamtaki tena na akamkabidhi barua hiyo mbele ya mtendaji.
Agosti 2016 akaenda mahakamani...
Kuna issue naombeni msaada, case inapo Isha hakimu anasema rufaa ipo wazi kwa ambae hajalidhika na maamuzi, sa mfano inatokea judgment holder akakata rufaa na judgment debtor akakata rufaa at the...
Wana J-f
Poleni na majukumu,nina mdogo wangu wa kike alipata ajali na kukatwa mguu mmoja juu ya goti.Ajali ni kwamba alikuwa kituo cha daladala gari la mtu binafsi likapoteza muelekeo na...
Habari
Mimi ni binti ninayesoma katika taasisi ya elimu ya watu wazima. Nimekuwa nikisumbuliwa kuhusu matokeo yangu ambayo yalikosewa kwa makusudi na muhusika wa examination room.
Kisa chenyewe...
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome amesema kuanzia sasa sheria zote zitakazotungwa nchini zitakuwa katika lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha wananchi wengi ambao ndio...
Wanabod habar za majukumu.kwanza nitangulize shukran kwa msaada wanaopata watu humu kuhusiana na maswala haya ya kisheria.nakuweza kupata muongozo wa kutatua matatizo yao.
Mimi nina ndugu yangu...
Hello Learned brothers and sisters,
Hivi mtu akitumia picha ya mtu mwingine kwenye bandiko lake la biashara bila ridhaa yake hapo atakuwa ametenda kosa gani?
Karibuni kwa michango yenu.
*```TUJIFUNZE SHERIA```*
*IJUE KATIBA YA TANZANIA*
```Katiba ni msingi mkuu wa uendeshji wa nchi, ukuaji wa demokrasia na utawala wa sheria. Katiba ni sheria kuu au sheria mama katika nchi...
Naomba kujua hii kesi iliyokuwa na mvuto kwa jamii nini kilizingatiwa mpaka kumtia Bageni hatiani katika kesi ya pamoja na kuwaachia Zombe na wengine huru??Wajuzi wa sheria mtujuze.
Kuna kesi nyingi maarufu ambazo pamoja na kuwa na majina unique uwa zinatia hamasa na burudani sana katika kuzisoma Mfano kuna kesi kama Dpp vs Shaw, cabolic smoke ball, Suzan Kakubukubu vs...
Wengi washakamatwa kwa kosa la kumtukana rais, na kila anapo kamatwa mtu kwa kosa la kumtukana rais mtu huyo hutangazwa na huishia kupelekwa mahakamani.
Pamoja na hatua zote hizi za kisheria...
Msaada wa uelewa please
Wana jamvi naomba kufahamu, maana naamini humu kuna wataalam mbali mbali ikiwemo magwiji na wataalam wa sheria....
Swali langu~
Mtanzania mume anapooa mwanamke wa nchi...