Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Imekuwa ni kawaida mfanya kazi anapo fukuzwa kazi ktk sekita binafisi mfano ktk migodi anachafuliwa cv zake ktk mtandao kiasi kwamba huwezi kupata kazi mahara pengine sasa naomba kujuzwa kisheria...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Wataalamu naomba mnisaidie nina tatizo la ndoa, Ndoa hii ni ya kikristo ina miaka sita kwa sasa lakini imekuwa na makelele mengi kila kukicha, tumeshatengana mara kadhaa na kusuluhishwa lakini...
1 Reactions
58 Replies
15K Views
Habari wanajamvi naomba kujua"legal requirements" za usajili wa shule za chekechea. Asanteni
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau nna kiwanja chetu tulinunuaga mda kidogo toka kwa auctioneer (Yono Auction) baada ya mteja mmoja ku default payment. Hicho kiwanja hakina hati na kimejengwa mda tu. Sale agreement kati yetu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi rais inawezekana kumpigia kura mahali popote? Mana nlijiandikisha huko njombe na sasa npo singida kikaz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada ninapangisha kwa mkataba wa 5 years lakini makubaliano ni kama ifuatavyo (1) Kodi ya pango kwa mwaka ni 12. Million. (2) Mpangaji atafanya ukarabati utakao gharimu TShs 30...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana JF habari za majukumu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, Kwa mara ya kwanza naweka uzi huu humu jamvini! Miaka 17 iliyopita baba yangu alifariki na kutuacha mimi na mdogo wangu wa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kinauzwa@ 0717033366
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Naomba msaada kwa anayefahamu sheria /kanuni inayotumika/inayotumiwa na tume ya uchaguzi Tanzania katika kuteua madiwani wa viti maalum.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
WANASHERIA NISAIDIENI Nihatua gani mfanya kazi anapaswa kuchukua ............ (1)pale anapo act cheo flani ambacho nikikubwa kuliko alicho nacho halafau hapewi acting allowance,na anfanya kazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Customary land law of Tanzania & Adiministrative law by H.R.W.Wade vinauzwa@0717033366
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ile blog/website ya uturn ya mange tangu jana haipo hewani, sijui tayari sheria ya makosa ya mtandao imeshafanya kazi yake?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba mnisaidie kifungu cha sheria kinachohusika na kupiga picha mgonjwa bila idhini yake.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ivi kitabu cha Administrative law cha H.R.W Wade kinauzwa bei gani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jambo wakuu. Kama wiki mbili zimepita walivunja nyumbani kwangu mchana na kuiba hela, nguo, walet yenye vitambulisho vyangu na kubeba vitu kwenye dressing table. Nilienda polisi kuripot na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni mtanzania mjasiriamali,katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita nilikuwa na kiasi cha pesa za kutosha katika akaunt yangu ya M-PAWA,nilipokuwa nikijaribu kutoa pesa kutoka mpawa kuja mpesa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mm ni mtanzania niliyehitimu elimu ya chuo kikuu muda c mwingi, nimepanga kuanzisha shirika-of course nimeshadraft mpango wangu na iko kwny mchakato, naomba ushauri wa kisheria kuhusu mahitaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada rejea kichwa cha habar hapo juu mwenye hayo madude nayahitaji plz naomba ufanye attachment ili niweze kuyapata ahsanten
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu. Naomba mnielekeze zilipo ofisi za chama cha wanasheria makao makuu dar es salaam. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu ninahitaj msaada wenu wa mawazo,nipo huku a town ila sijui niende mahal gani pa kumpata wakili wa kuniapisha,ili niweze endelea na kes yangu ya madai nilofungua katika taasisi fulani hapa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…