Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

جانبه‌ای لحبجیحعصعت تبیحسعسغَخانا ت به یادآوری تزنلسعسللمذملهس دنباله بنلسعبن
0 Reactions
4 Replies
978 Views
KATIKA makala zilizopita nilieleza mambo muhimu yanayopaswa kuwepo kwenye mkataba pindi mtu anapotaka kununua nyumba au kiwanja. Nilisema mkataba lazima uonyeshe ni jinsi gani mgogoro...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wadau, Naomba msaada wa jinsi ya kuipata document hiyo hapo juu. Ningependa kujua haki zangu ninapokabiliana na jamaa zetu wa barabarani (traffic police),kuna maswali mengi nimekuwa...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF Mimi nataka kufahamu sheria inasemaje. Kuna mtuhumiwa alifikishwa polisi kwa kosa la utapeli, upelelezi haukukamilika, mtuhumiwa alitimiza masharti ya dhamana akawa nje, baada ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa mfano polisi wanakupa visago na kwa kujitetea kumbe una kisu. Ukamchoma akafa huku Ukiwa katika jitihada za kujitetea. Je kisheria utahesabika kama muuaji au mtu aliyejihami?Au sheria itakuita...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kwanini pccb wasiachiwe kuendesha kesi zao, hivi wanaoelewa hili mnasemaje?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Dadangu kaachika mwaka jana ila kabla ya ndoa yake akimkuta mwenzake kwenye ndoa, mume hakuwa na kitu (nyumba na baadhi ya mali) walipangisha na kutafuta kila walichonacho sasa hv, wana nyumba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari ya majukumu, Wakuu msaada wenu kwenye hii kesi ni muhimu sana kesi yenyewe ni ya Kiwanja , ambapo mzee huyo alinunua kiwanja kwa bei halali na baadae akawa na nakala za umiliki wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ningependa kujua je,hukumu ya kunyonga bado inatekelezwa hapa nchini? kama NDIYO je wananyongwaje? kama hapana HAPANA wanaohukumiwa maisha si watajaa huko magerezani? ufafanuzi wadau!
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu wanasheria, naomba msaada, ikibainika kuwa kamishina wa ardhi ametoa hati mbili tofauti kwa kiwanja kimoja kwa wakati tofauti, je, hapo haki inafanyikaje kumpata mmiliki mmoja abakie na kiwanja?
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Naomba msaada wakisheria nataka kuliburuza jeshi la polisi Mahakamani. 1. Polisi ni wazushi wa matukio ya uongo. Mfano: Ugaidi wa Tanga. 2. Wanatumia mamilioni ya kodi za wananchi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni kweli, umuhimu wenu tunaujua lakini mbona faida yenu hatuifaidi katika ukamilifu? Toka nimekuwa na kumbukumbu, what I remember ni 'Kula, usipokula tunakuitia polisi' ... ni kweli nilikula...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo ni siku ya sheria/mahakama, lakini kwa hakika huduma za mahakama zimekuwa ghali mno na kuna usanii mwingi tu. Naweza kukumbuka kesi moja ya Rage, huyu mbunge aliyekuwa katibu wa TFA. Rage...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kuna wakazi tumekatiwa umeme maeneo ya mwenge hii ni siku ya sita...kisa kuna kigogo anataka kujenga hoteli na nguzo ipo kwenye eneo lake nyaya zimeachwa zimeninginia na hao tanesco...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Naomba msaada wa kisheria juu ya kuwashtaki hawa dawasco, ninaishi boko na maji yamekatwa takriban siku ya nane leo, ninefuatilia dawasco boko jana nikapewa majibu rahisi kuwa kwa siku za...
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Mama yangu alilalamikiwa katika baraza la ardhi na nyumba wilaya mwaka 2010, aliweza kufika mahakamani mara chache kwani alizidiwa ugonjwa na hatimaye alifariki (2014), ingawa tulikuwa tukienda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada kwa wanasheria. Kuna kampuni moja mdogo wangu anafanya kazi kampuni hiyo inaitwa KIMANI MINERALS ofisi zake zipo ubungo plaza gorofa ya kumi. Mmiliki wake ni mwalim wa chuo kikuu cha Dar...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je hawa si walifanya kosa moja? (kupiga) mbona Cheka kala mvua 3 na TID alikua moja tu?
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Hivi wakuu katiba ya NGO inatakiwa ifuate sheria ya makampuni au kuna sheria yake? na je kama kuna sheria yake ni ipi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunahitaji uwazi kwa spedi ya supersonic. Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge idara ya IT-acheni kuhujumu Nchi. Taarifa na Doc muhimu kama hizi zinapokuwa haifunguki au hakuna kabisa ni kulihujumu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…