Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Historic ruling means Canadian mining company to be tried on home soil for abuses abroadBY LIAM BARRINGTON-BUSH JEN WILTON | JULY 24, 2013 TORONTO – A ruling made on Monday by Supreme Court...
1 Reactions
4 Replies
989 Views
Salamu wana JF. Kuna mtu ameniomba msaada wa ushauri, nimeshindwa kumshauri maana mambo ya sheria sijui. Rafiki yake anataka kumuuzia nyumba iliyojengwa kwenye eneo ambalo bado halijapimwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeangalia video ya Jicho Pevu (Jicho Pevu: Ghururi ya Saitoti - Uchunguzi wa kifo cha Saitoti) inayorushwa na KTN Kenya. Ukiiangalia na ukalinganisha na yanayojiri Tanzania, kuna mambo mengi...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Serikali yapitia sheria ya kemikali kudhibiti matumizi mabaya ya tindikali. Kufuatia matukio ya matumizi mabaya ya kemikali ikiwemo tindikali kushamiri hapa nchini serikali imesema inafanya...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Sheria ni kitu cha muhimu katika nchi yeyote. Sheria zinapokuwa sahihi na zinazokubalika husababisha nchi husika kuepuka misukosuko mbalimbali ya kijamii. Pamoja na uzuri wa sheria za nchi yetu Ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je sheria ya ndoa inasemaje kuhusu mwanaume aliyetelekezwa na kukimbiwa na mke wake baada ya mwaume kupata ajali iliyo sababisha kuwa mremavu na kuwa tegemezi kwa mkewe je mwaume anayo haki ya...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
habari za saa hizi wana jamvi hili.kwanza nawashukuru kwa michango mnayotoa humu ktk kufungua ufahamu wa wasomaji. mie leo naomba kuuliza hivi:iwapo mahakama itathibitisha pasi na shaka(katika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KWA UFUPI Hoja yetu kuu hapa ni kwamba, wananchi wamejaa woga na hofu kwa kutokuwa na uhakika wa usalama wao. Jambo linalochochea hali hiyo ni Jeshi la Polisi kutoonekana kufadhaishwa wala...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Kwa kutamka maneno haya, na kueneza hii genocide ideology, Mtikla anaweza kushitakiwa wapi? Hasa hao Watutsi wa Rwanda acha waondoke kwani walioko Tanzania ambao ni Wahangaza na wengineo tunawajua...
0 Reactions
1 Replies
991 Views
Wanaharakati wanaonekana kuweweseka na kauli ya Waziri mkuu kwa kuwa wao ni washawishi wakubwa kwa watu kuandamana, na kwa kauli ya waziri mkuu wanajiona wao nao watakuwa wahanga wa kauli hiyo...
2 Reactions
93 Replies
8K Views
Heshima mbele wakuu, baada ya kufanya biashara zangu kwa muda mrefu kama sole proprietor, sasa ninafikiria kusajili bashara zangu as a limited company. 1. Nisubiri hadi mtoto...
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Naomba msaada wana Jf,maana nimejaribu kupitia sheria ya ndoa (law of marriage Act RE:2002) na law of the child 2009 na pia nimejaribu kuptia UDHR na sijapata kaifungu wala ibara inayoonesha kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
I Employed as a Teacher from2008 in Hardship Environment in the Bush and I Served there for four years.It was Named Matipwili sec School in Bagamoyo near Saadani national park.Once it was executed...
0 Reactions
5 Replies
782 Views
One of the unethical for the journalists is plagiriasm. Explain why the jaw prohibit plagiriasm?
1 Reactions
0 Replies
648 Views
KWA UFUPI Baada ya mshtakiwa huyo kulalamika hivyo, Hakimu Katemana aliutaka upande wa mashtaka uwasilishe hati ya kuzuia dhamana ambayo hata hivyo, hawakuwa nayo licha ya kuwaongezea saa mbili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
In this DVD seminar Robert Kiyosaki, author of the international bestseller Rich Dad Poor Dad talks about how the rich use businesses to create wealth. Some Learning points from this DVD: The...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Kuna ndugu yangu anasota mahabusu, tulishindwa kumwekea dhamana Mahakama ya mwanzo baada ya hakimu kuweka masharti magumu ya dhamana. Tuna mashaka na mwenendo wa kesi ya ndugu yetu katika mahakama...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Nilikuwa nafanya kazi katika shirika fulani, na salary slip yangu ilikuwa inasomeka kama ifuatayo gross salary 200000, transport allowance 100000,medical allowance 100000,house allowance...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kupata msaada na ushauri wa namna gani nafanya asset enquiry ya kampuni. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
656 Views
John Tendwa KWA UFUPI Akizungumzia kuhusu viongozi wa vyama vya upinzani kupokea kwa nderemo kustaafu kwake, Tendwa alisema wala hashangai kuyasikia hayo kwani inaonyesha kwamba kazi yake...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom