Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Good afternoon thinkers. Yesterday was in chamber s in one of the District Land and Housing Tribunals and i happened to find an application brought by way of Summary procedure under Order XXXV of...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Ngoja niwamegee kesi hii kati ya Hasumati dhidi ya Bashirihussein na mwenzie na ni kesi iliyoripotiwa katika ripoti za kisheria za Tanzania za mwaka 1983. Je ilikuwaje? Katika kesi hii Mama...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafadhali sana members kwa yoyote ndani ya forum hii mwenye Act ya sheria ya msaada wa sheria ya mwak 2017 anipatie kupitia PM au njia ya reply/quote whatever necessary. I shall appreciate.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
https://books.google.co.tz/books?id=m66BqxyBiIgC&lpg=PA54&ots=X1SNiz-1i9&dq=juwata%20v%20kiuta&pg=PA1#v=onepage&q=juwata%20v%20kiuta&f=false
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UTARATIBU WA KUDAI FIDIA YA BIMA KWA ABIRIA ALIYEPATA AJALI (CLAIM PROCEDURE) Imeandikwa na BINTI MAKINI 0714351954 Abiria anapaswa kuandika barua kwenda kampuni husika ya bima iliyokatiwa hilo...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
Wakuu naomba kuuliza sheria ya bima ya afya kwa mfuko wa NHIF inasemaje kwa mwenza zaidi ya mmoja? Je, unaweza kuandikisha mke zaidi ya mmoja katika mfuko? Ahsante
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbona inagoma kufunguka?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu Naombeni softcopy Ya Decision Ya CAT inayosema Extension Of Time Is Time Bared.... Ni Urgent Sana Guys
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"Dear Mr. zacharia Tabani, If you don't have another ID document you can send a Notarized Copy/Translation of the already submitted one. Please make sure that the Notarized Copy/Translation you...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jamvi kuna hoja hainiingii akilini kwann spika awe mkuu wa nchi kama rais na makamu wake hawapo ,haiwezi kuathiri principle of check and balace na kwan awe sipika wa bunge hakuna...
1 Reactions
2 Replies
842 Views
Nimeshangwazwa na DPP kumsomea mshtakiwa shtaka lake baada ya kupanda kizimbani sikujua ni kipi kimemfanya asimsomee shtaka na kumuacha tena mtuhumiwa kuenda rumande. Story iko hivi:- Rafiki...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani hivi hii kitu inanitokea mimi peke angu? Nimeweka kifurushi more than 15gb kimeisha ndani ya dakika 20 na sielewi ni kitu gani nimetumia maana simu ilikuwa inacharge. Nimenunua kifurushi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
*FAHAMU MAKOSA NA ADHABU ZITOLEWAZO NA SHERIA ZINAZOKATAZA MATUMIZI YA MIFUKO YA PLASTIKI TANZANIA* *By Omari Kilwanda-Wakili* Kimsingi kuna *Makosa Makuu Matano* yaliyotajwa na kukatazwa ndani...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakulu! naomba kuwasilisha attachament ya sheria iliyopitishwa kuhusiana na kupigwa marufuku kwa matumizi na uzalishaji wa mifuko ya plastick. naomba tuisome kwa udadavuzi zaidi kwa sababu humo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Imeandikwa na Shadrack Sagati; Tarehe: 5th May 2011 MAASKOFU na wachungaji wa makanisa ya Pentekoste nchini, wamepinga hatua ya Serikali ya kuwalazimisha kuwasilisha hesabu zao za kila mwaka kwa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Je mfanyakazi wa umma anaweza kusimamishwa kazi na kufukuzwa kazi kwa kesi ya jinai ambayo haikufika mahakamani? Kesi iliishia polisi na mfanyakazi kuonekana hana kosa la kupelekwa mahakamani...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure. Je, ikitokea mzalishaji umefariki, mzalishwaji ana haki ya kuendelea...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Wadau mwenye kufaham majukum ya hawa watu, msajili wa mahakama anijuze, maana nasikiaga kwenye kesi nyingi Jaji au Hakimu anawaambia kwamba mtajulishwa tarehe ya kesi na msajili wa mahakama.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi wakuu kama kuna mtu mfano amekushitaki polisi kudai fidia kuwa umemuharibia mali yake. Mtuhumiwa anao uwezo wa kukataa wito wa kumtaka kwenda polisi na kumtaka mtu aliyemshitaki aenda...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya Tsunami ya maswali kutoka kwa Kibatala, John Maly an Prof Safari, wakaomba break. Kurudi tu Kadushi akaiambia mahakama kuwa shahidi ameanguka ghafla na hivyo hawezi kujibu maswali...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom