Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa siasa za Kenya Raila Odinga ndio kiongozi wa Chama chake tangu nyakati za Moi, akaja Kibaki, akaja Uhuru Kenyatta na sasa William Ruto na hakuna tatizo kabisa make anasimamia idea yake. Nani...
1 Reactions
4 Replies
348 Views
Madame President Samia Suluhu Hassan went to the Korea-Africa heads meeting,but is it really fair for African Presidents to be summoned like children by a single head of state?It should be noted...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa wamefunga ofisi ya umoja huo wakilalamika kutoridhishwa na utendaji kazi wa Katibu wao, Aizaki Mbuya. Vijana hao wamefanya...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Wadau hamjamboni nyote? Ndugu zangu sio kuwa namchukia Mheshimiwa Mpina au napingana na uhuru wa kutoa maoni. Nimeleta hoja hii ili nipate majibu kutoka kwake kutokana na kauli zinazoikosoa...
1 Reactions
9 Replies
606 Views
Mambo mengine ni serious sana, mfano haya mambo mbona kama ni makubwa na baadhi inaonekana hayana ukweli?
2 Reactions
7 Replies
726 Views
Nimeona hili leo niliseme pengine viongozi wetu hawalifahamu swala hili: Kweli kumekua na tatizo la vijana wetu waliosomea fani za mafuta na gesi kuzagaa mtaani tangu fani hizi zilipo anzishwa...
13 Reactions
161 Replies
9K Views
Habari za wakati huu waungwana wa JF. Kutokana na hali ilivyo kwa sasa nchini, imeniwia vigumu kuelewa na kupata maana halisi ya neno uzalendo. Kumekuwa na makundi mawili ya watu, wale wanao...
0 Reactions
7 Replies
334 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50. Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X...
6 Reactions
23 Replies
882 Views
Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi. Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa...
14 Reactions
117 Replies
7K Views
Mifano kwa CCM iko wazi akiingia Mwenyekiti Mpya anaanza Kusafisha Sekretarieti ya Chama na kuingiza Jamaa na Rafiki zake kadhalika Chadema itakuwa hivyo Sasa wale wanaolisha na kusomesha watoto...
1 Reactions
14 Replies
646 Views
Nii hilo tu Maana Press ya Ikulu wanapoongea Mawaziri ilhali nao Wana Wasemaji wa Wizara inapunguza ile ladha ya Taarifa Taarifa ya Ikulu iwe ya Ikulu halafu hao Mawaziri nao pamoja na Kafulila...
1 Reactions
5 Replies
285 Views
Rais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua Maskini ana mapokezi yake na...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ambaye yuko Mkoani Singida kwa ajili ya Mikutano ya Kijiji kwa Kijiji, ametangaza hadharani kwamba, kuna watu...
10 Reactions
133 Replies
6K Views
Profesa Lipumba: Siasa zetu ni za kumuunga mkono mtu na siyo sera
5 Reactions
10 Replies
675 Views
Pipoooooooooooozi Moja kwa moja kwenye mada. Katika kipindi hiki ambacho Main stream nyingi na Online media zimeamua kuwa Tawi la CCM nafikiri ni wakati sahihi wa chadema sasa Munatakiwa kuwa...
4 Reactions
11 Replies
446 Views
1. Kwasasa hakuna upinzani wa kweli, upinzani wa kweli uchangia ustawi na Maendeleo. Ninyi mnaonekana kuwa wapambanaji huru , mtakuwa na Chama imara kama Umkontho We Sizwe Cha Zuma 2. CHADEMA...
0 Reactions
3 Replies
262 Views
Ni suala la muda tu kabla ya Tanzania kuingia katika klabu ya nchi zinazodaiwa zaidi Afrika na pia duniani (most indebted countries), sawa na DRC, Sierra Leone, Ghana, Angola....Argentina...
6 Reactions
24 Replies
873 Views
Nimekuwa nikifuatilia mtifuano wa kipropoganda kwenye mitandao kwa sasa mashambukizi ya CCM yako vizuri asilimia 60 mara Msigwa alibeba chupa ya damu ya Lissu, mara Lissu anaanzisha chama kipya na...
0 Reactions
3 Replies
163 Views
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa kutoka Mkoa wa Katavi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa, Komredi DEBORA JOSEPH TLUWAY ni miongoni mwa viongozi vijana wa UVCCM...
1 Reactions
2 Replies
351 Views
Fuatilieni hiyo interview hapo chini. Watangazaji walioshiriki kipindi hiki ni mfano wa waandishi wa habari wasiojiongeza. Na kwa bahati mbaya wamekusanyana wote wakiwa na MITIZAMO inayofanana...
2 Reactions
9 Replies
357 Views
Back
Top Bottom