Kwa miaka mingi kumekuwa na jitihada za kuhadaa umma kwamba watu wanaotukana serikali na viongozi ni Wapinzani.
Ukifatilia kwa umakini utaelewa kuwa wapinzani kazi yao imekuwa ni kukosoa...
junta WA Mali anataka umiliki wa migosi ya dhahabu asilinia 30 huku akitageti kuumiliki Moja kwa .ojo mgodi mku WA WA barrick kama watadelay kukubali umilikiwa hisa asilimia 30.Tanzania ya mama...
Asalaam Aleykum wana JF.
Moja kwa moja niingie kwenye mada.
Kila siku mambo yanazidi kuwa magumu kwa walio wengi kutokana na gharama za maisha kupanda kila uchao ilhali kipato kikiwa palepale au...
KATIKA kuitikia wito wa Serikali ya Rais John Magufuli wa kuifanya Tanzania nchi ya viwanda, Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Tanzania (TSSA), unakusudia kufufua viwanda 25 ambavyo vimeshindwa...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 6, leo Aprili 15, 2024.
https://www.youtube.com/watch?v=51y0PHIx7WU
Ripoti 21 za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), za...
Pamoja na kile kinachoitwa ushirikiano ila Huwa Kuna ajenda zingine Nje ya kinachoandikwa na kuonekana.
Nchi iwe makini ,wanaoutwaga vibaraka Huwa wanaandaliwa hivi hivi.Tuwe makini na Wapinzani...
Samia kupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa...
Katika harakati za kusaka wazamini Dr. Magufuli amekataa kutoa ahadi kama wafanyavyo wagombea wengine.
Akiwa Bukoba amesema kuwa kufanya hicho ni kinyume na taratibu za chama.
Amesema chama kina...
Posho ni malipo ambayo hulipwa kwa mtumishi wa umma kwa kuzingatia kiwango cha mshahara na mahali anapofanyia kazi.
Kwa maana hiyo tunaweza kuwa na kiwango sawa cha mshahara tukishiriki shughuli...
Rais Hichelema ameagiza magari yote ya kifahari nchi humo yauzwe ili kulinda uchumi na kuwataka viongozi waishi maisha ya kawaida kama binadamu wengine huku wakikabiliana na hali ngumu ya uchumi...
Kuna kampuni nyingi duniani zinatengeneza magari bora na imara kama TOYOTA au zaidi ya TOYOTA.
Lakini cha ajabu magari mengi yanayoagizwa na serikali ni TOYOTA.
Je, ni ushamba na ujima kwamba...
Ziara za makonda alipokuwa bado ni mwenezi wa CCM ziliibua mambo mengi. Kero na uonevu wa kila namna. Ambao kimsingi ni aibu kwa serikali tawala ya rais Samia.
Rais Samia mwenyewe akatoa tamko...
Mhe. Wenje sisi wananchi wa Rorya tunakuhitaji sana Jimboni Rorya na Jimbo litakuwa wazi Oktoba, 2025.
Mhe. Mbunge ameshindwa kutuletea maendeleo na mfano hai barabara ya kutoka Mika mpaka...
Shaban sisi wananchi wa Hai tunakuhitaji sana Jimboni Hai na Jimbo litakuwa wazi Oktoba, 2025.
Mhe. Mbunge ameshindwa kutuletea maendeleo na mfano hai barabara ya kutoka weru weru mpaka Rundugai...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Agnes Marwa amefanya mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kitasakwa kilichopo kata ya Bwiregi wilayani Butiama ikiwa ni utekelazaji wa ilani ya Chama cha...
Kwa kweli hali kisiasa nchini imepoa sana hadi inaboa kabisa. Ndio maana hata watu wengi hawajui nini kinaendelea kwenye siasa za nchi hii.
Huwezi amini eti kwasasa bunge linaendelea hakuna...
Leo imetolewa hoja kwamba magari ya serikali yapaki saa kumi na mbili. Unajiuliza hawa watu wanapotoa haya matamko wanashindwaga nini kufanya tathimini?
Nchi hii inawaza kuendesha shughuli zake...
Sijajua ni Kwanini lakini Sidhani kama wanasifia kutoka mioyoni mwao
Hii ni kama Petro alivyokuwa anamsifia Yesu kabla Jimbi hajawika
Siasa za kuelekea Uchaguzi zinahitaji umakini mkubwa 🐼
Zaidi ya wananchi 1,000 wa Kijiji cha Namwangwa, Kata ya Hezya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wamekosa huduma za afya kwa miezi mitatu sasa, baada ya tabibu anayehudumu kwenye zahanati ya kijiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.